Unazungumziaje Hali ya Rushwa Wilayani Temeke?

Unazungumziaje Hali ya Rushwa Wilayani Temeke?

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Malalamiko 75 yalipokelewa TAKUKURU kati ya Januari - Machi 2022. Kati ya Malalamiko hayo, 49 yalihusu Rushwa na 26 hayakuhusiana na Rushwa

Idara mbalimbali zilizolalamikiwa ni pamoja na Afya, Elimu, Ardhi, Watendaji wa Kata, TANESCO, Mahakama, Bandari, Mamlaka ya Mapato (TRA), Watu Binafsi, DAWASA, Polisi, PSSF na NHIF

Wewe ni Mkazi wa Temeke, Dar es Salaam? Umewahi kuomba Rushwa ulipohitaji Huduma katika Idara fulani?

1656574684962.png
 

Attachments

Bongo bila rushwa mambo hayaendi
Rushwa,uwizi,ufisadi ipo damuni mwetu...

Ova
 
Nadhani temeke hospital ndo kinara hapo,pale rushwa sio ombi ni lazima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Back
Top Bottom