Takwimu za wapi hizi?[emoji23]Shorts on target YANGA 6 - 2 MAKOLOKOLO FC, afu bado tu unajitekenya ukicheka mwenyewe kuwa MAKOLO mnasikitika, hivi kwanini MBUMBUMBU huwa hajifichi kujulikana hata siku 1 tu [emoji848][emoji4]
Hizo ndo takwimu za game ya leo
Tembeza na wewe kama ni rahisiLigi ya ndani ni rahisi zaidi jiesiemu kutembeza bahasha ila kimataifa ni ngumu kugawa bahasha za kaki.
ndo maana kimataifa wanapasuka mwanzo mwisho.
Simba mliwekewa Shingapi kwenye bahasha zifuatazo:?Ligi ya ndani ni rahisi zaidi jiesiemu kutembeza bahasha ila kimataifa ni ngumu kugawa bahasha za kaki.
ndo maana kimataifa wanapasuka mwanzo mwisho.
Kwahiyo na nyinyi hiyo bahasha mshatembezewa?? Na mshapokea kias wewe Kolowizard.Ligi ya ndani ni rahisi zaidi jiesiemu kutembeza bahasha ila kimataifa ni ngumu kugawa bahasha za kaki.
ndo maana kimataifa wanapasuka mwanzo mwisho.
Si juzi tu mmepigwa na Al Hilal? Au ile haikuwa mechi?Japo matokeo si mazuri kwa upande wa Yanga, tunamshukuru Mungu kuendelea na wimbi la kutopoteza mechi
Ungeelewa maana ya unbeaten, wala usingeanzisha uziTupo Bongo we KOLOWIZARD [emoji13]
wewe na nani?Sudan ilikuwa ligi kuu ? sisi tunahesabia kwenye ligi ya ndani
shorts ni kaptura, msiwe mnakimbilia lugha za watu!Shorts on target
ndio zinaonyesha Simba aliikamata game zaidi kwa 53% ?Hizo ndo takwimu za game ya leo
Mashabiki wa Uto wengi mnautapia mlo.Kwahiyo na nyinyi hiyo bahasha mshatembezewa?? Na mshapokea kias wewe Kolowizard.