Unbelivable..

hizo taarabu huwa zinakuwepo mwanzoni mwa penzi tu baada ya hapo uhalisia unachukua nafasi yake na nyimbo kama hizo zinapotea...
 
Jaman Chris don cry baby dat iz lyf it iz in a game ya luv, so take it easy
 
Katika ulimwengu huu wa utandawazi uchakachuaji unazidi kushika kasi, pole ila hauko peke yako kila siku wapo wanaolia kwa kusalitiwa.
Tulia vuta pumzi na anza upya, huyo hakuwa sehemu ya ubavu wako.
 
Love z a dirty game..dnt try it
 
mapenz wewe mapenzi yoyoh mamaaah sheri wangu! Asilimia kubwa ya nyimbo na tenzi nzuri n za mapenzi tena za kumsifia mwanamke ka huamin nenda kamsome bwn suleiman kunako bible
 
Navyo kusoma kwenye thread hii kama vile wewe bado sana mpaa uelewe nini mana ya love, navyo fahamu mimi love is a commitment to growth, happiness, and fulfillment of one another sasa hapo naona kama umekimbia kabla ya kufika huko.
 
sorry.... but you are not the first nor the last.....take it easy.....life has to goo ooonnnn.is not the end of everything
 
Bora umeyatambua maana next time hata ikitokea tena maumivu hayatakua makali sn!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…