Uncle Shamte ana ulimbukeni wa mapenzi

Uncle Shamte ana ulimbukeni wa mapenzi

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?

Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.

Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?

Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.

Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.

Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.

Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?

Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.


Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
 
Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?

Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.

Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?

Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.

Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.

Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.

Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?

Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.


Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
Crap…..
 
Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?

Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.

Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?

Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.

Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.

Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.

Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?

Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.


Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
Acha afaidi maisha mkuu... Life is too short
 
Mkuu, anko Shamte ni mtanzania yupo huru kufanya anachojisikia isiwe tu kinavunja sheria na taratibu za nchi, na kikubwa zaidi kamuoa ndoa halali kabisa kabisa huyu bi mkubwa, ninachoona hapa unaingilia binafsi ya mtu ambayo ni haki yake
 
Back
Top Bottom