Kwenye izi ngoma mafundi wawili kutoka kwenye kiwanda cha bongo flava walishirikishwa so ngoma ipi Kali zaidi....karibun, mapovu no..!!
Zigo walio fanya hawajui?!Unconditionally bae iko poa wote waliofanya hiyo ngoma wanajua!
-Nyerere-
Yaaah zigo aliyofanya AY peke yake bila Mondi wengi hawaijui ila remix yake inajulikanazigo60% unconditional bae 40%..
kwa mtazamo wangu
kiba kashirikishwa ila kaenda kuharibu ngoma ya watu na yooo yooo...
mond kashirikishwa halafu haitendea haki..
shigidii shigideeee[emoji119]
jifunzeni kutofautisha..
NA HUU NDIO UKWELI.