Undefeated Floyd Mayweather vs Pacquaio Rematch December

Maywether namkubali sana,kwani anaishi ndoto zake,Anafaidi pesa zake mwenyewe,yaani hata kama hajui kusoma na kuandika namna ya kuanza kumsema unashindwa uanzie wapi? Maana yake wewe mwenye PHD unaishi ukisindikiza Tripu za jua Duniani huku mwenzako jua linammulikia katika kukamilisha mission zake,Respect sana kwako bruh japo huwezi kuiona hii comment na hata ukiiona bado utaona kama kikaragosi fulani kinataka kukuomba hela ila wapi,piga hizo pesa tena,najua thamani ya pambano hili itatosha kununua dreamliner nne na wewe utakula dreamliner mbili na ki bombardier safi...,,,Team floyde pretty boy,TMT,
 
Masumbwi ni ya mtu mweusi siku zote si mtu mweupe safari hii huyo Paciao atapigwa vibaya mno,mkumbuke tu maneno yangu haya!!
 
Na anayeona unapendelewa aombe match umvunje Taya,Mtu anakula pesa yake ya kupigwa mingumi ya uso mnakalia kusema eti angetoa msaada sijui nini,limbukeni hela zako mpaka umoangie,Nakereka sana pale anapost picha zake akiwa kwenye jet lake akielekea Las vegas kula maisha akitokea Copa cabana ambako alipost akiwa kwenye yatch la kifahari,ki mtu fulani hata hakimjui,hamkidai,wala hata undugu wa damu hakina" Eti ulimbuke,sijui Toa msaada"utadhani yeye ametoa hata box hata moja la chaki kwenye shule aliyesomea
 
Ana hiyo weakness anaacha sura yake very exposed, ni hatari sana akiwahiwa yeye. Alichofanya juzi ni kumuwahi yule mzungu.
Kiukweli alimuwahi lakini alimpa jabs za kutosha, kama sio refa kuwahi yule Sam Egginton alikuwa anakufa.
 
Jamaa wapo kwenye mission za kupiga pesa tu
 
Hii chai ya chumvi, Manny hakuvunjwa bega na Floyd. Tangu hata pambano linaanza aliumia, akataka kughairisha pambano ila haikuwezekana kisa tambo za Myweather
 
Tatzo hbr umeileta kishabiki sana alimvunja mkono au kabla ya pambano pac aliingia mkono mmoja ukiwa mbovu? kuwa makini unapoleta taarifa hmu co wote vilaza!
mtoa mada " kapagawa
 
wajanja wajanja tu " hao wapigaji "... hayo matamasha huwa wanaandaa mapema nani ashinde "..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…