Habari wanaJF,
Shirika la Youth For Africa (YOA) likishirikiana na wadau wake linaandaa tuzo za kwanza na kubwa zaidi Tanzania zinajulikana kama Under-30 Youth Awards. Tunapokea Mapendekezo ya Majina ya Vijana au Vikundi vya Vijana waliofanya vema katika categories Entrepreneurship, Media, Innovation, Fashion, Sports, Art and Design, Entertainment na Tuzo kubwa zaidi ya Social Impact. Unaweza kutembelea youthawards.or.tz kwa kufanya nominations.