under19 girl wap?!

under19 girl wap?!

Ww unamiaka mingapi?
Unafanya nini?
 
natafuta girlfriend umri asizidi miaka 19.awe mjanja na mcha mungu no.yangu 0658108009.

Kuna mjanja na huku anamcha Mungu kweli, wacha Mungu sio wajanja bali ni wanyenyekevu na wamejaa hekima
 
ujanja co kuacha kumcha mungu,Mungu bado ana nafasi kubwa kwa kila lifestyle yoyote,ninacho maanisha kumuogopa mungu,na kumuogopa mungu co kuacha kujipenda,kuvaa vzr n.k
 
Dogo hauna house gal hapo kwenu au jirani yenu hana au hata hapo street?
Natania mkuu.

Soma kwanza mtu wangu una safari ndefu sana
 
natafuta girlfriend umri asizidi miaka 19.awe mjanja na mcha mungu no.yangu 0658108009.

Ha 19yrs! Dogo kwanza nakushauri anza kuachana na vijiwe visivyo na maana, elekeza mawazo darasani maana bado unasafari ndefu sana wewe. Halafu hebu waonee huruma wazazi wako, kumbuka ndio waliokulea, na bado wanaendelea kukulea na nina uhakika sidhani kama watafurahi kukuona kijana wao mdogo kama wewe eti unajiingiza kwenye mapenzi na umri huo.......Ikitoke mmepeana mimba huko huoni kama utawapa wazazi wako shida, wawalee wewe, huyo mwenzako na mjukuu juu!!!!

Kwahiyo dogo acha kuwaza raha tu, soma wewe ehh!!! kumbuka hii bongo bwana hatupo ulaya hapa.
 
kwanza asanteni xana wakubwa zangu,lakini mi kwa mawazo yangu nafikiri ninachokitafuta is just girlfrind,na sio mke alafu kwa umri huu mi nafikiri najua ninacho kifanya cwez kuchanganya mapenz na shule coz kila kitu kitakuwa na mda wake,alafu 2cdanganyane kwa umri huu wangu cjui kama kuna kijana asie waza mapenz hii ni kutokana na mazingira yenyewe ya sasa cha msingi ni wewe tu utavyo yachukulia coz najua kila ki2 kina faida na hasara,kibaya ni ngono na sio mapenz{girlfriend&boyfriend} hata kufarijiana..!
 
ujanja co kuacha kumcha mungu,Mungu bado ana nafasi kubwa kwa kila lifestyle yoyote,ninacho maanisha kumuogopa mungu,na kumuogopa mungu co kuacha kujipenda,kuvaa vzr n.k

Wewe unamuogopa mungu kweli? Huyo girlfriend unataka umfanye nini? Maana huyo Mungu anasema usiikaribie Zinaa wa USIZINI! Sasa wewe sijui unamuogopa kivipi? 19yrs ni mdogo sana soma bhana achana na upuuzi huo unadhani kwamba umekua.
 
Aisee.. Ungekuwa mdogo wangu ungekula vitasa vya kutosha. Yaani badala uombe ushauri kuhusu elimu wadau wakusaidie wewe unatafuta mpenzi. Form 3 ushaanza mapenzi tena kwa uwazi hivyo. Conc na shule dogo. Maisha magumu sana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Junior Member Array

Join Date : 8th November 2012
Posts : 6

Rep Power : 302
Likes Received 1
Likes Given

NDICHO KILICHOMLETA JAMANI DAH_...
 
19 years,ni mwanafunzi wa kidato cha 3,

soma mdogo wangu achana na mapenzi kwan mapenzi yapo tu na kila siku wanazaliwa wasichana wazuri so understand wat u do 4dis tme coz u can destroy u'r life wth u'r hands.
 
Junior Member Array

Join Date : 8th November 2012
Posts : 6

Rep Power : 302
Likes Received 1
Likes Given

NDICHO KILICHOMLETA JAMANI DAH_...

mwambie kama anataka mambo hayo aende facebook huku jf ni kwa watu wanaojitambua sio wapuuziiii kama yeye.
 
soma mdogowetu ukisha ingia kwenye mapenz kitaaluma lazima ushuke.labda unalazimishwa shule.uposhule za kata nin kwahiyo unahis hakuna utakacho vuna?
 
Back
Top Bottom