St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Agreed... Mpaka watu wanabezana ana tamaa za fisi kula mizogo...Ana tamaa!! Mwizi.
Agreed... Mpaka watu wanabezana ana tamaa za fisi kula mizogo...
tofauti na wanyama wengine kama Twiga(air Tanzania) simba (sports Club),Tembo (cement),Mbuni(sabuni ya mche),sungura(printers),Chui(dawa ya Mbu coil),Nyati(Buffalo-hoteli) pamoja na wanyama wengine. Yeye Fisi hana brand name
Ni mwoga sana!