king mjuni
Member
- Oct 11, 2014
- 93
- 15
Jaman wadau kwa muda uliopita nilikuwa nalia na tcu kwa mambo ambayo wamenfanyia lakn nikanyamaza sasa npo chuo ambacho nakipenda lakn koz yake siipend sabab nilifanya 2round aplc so nilifanya wrong choice niw kwenye system so npo UDOM Kwa coz ya BAGE Bch. Of art in geog and envrnmental study me sitak hii koz nataka omba koz ya science with eduction.
Nimesoma CBG so njia rahs n ipi? Ili niweze kubadil na koz hyo ya BAGE ninamkopo nimepewa na bod so wanasumbua sanaaa so naomben maujanja mana future yang ishaharbka ila kama waknpa edction somehow naweza nikatmiza malengo yang mana nilkuwa napenda medical related programs!
Nimesoma CBG so njia rahs n ipi? Ili niweze kubadil na koz hyo ya BAGE ninamkopo nimepewa na bod so wanasumbua sanaaa so naomben maujanja mana future yang ishaharbka ila kama waknpa edction somehow naweza nikatmiza malengo yang mana nilkuwa napenda medical related programs!