Dah...mdogomdogo..utanyooka tu 🙂Mi sina matege km yako we Babu Jinga mdogo ake Mzee Akilimali
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Babu mbona nimekuona Chitchat umekomenti kipampaspampas kutwa zima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uongo au kweli?
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
NimekuelewaHata wakubwa wanapokuwa na wakubwa wenzao hufanya mambo ya kijinga....lakini ni upumbavu kwa mkubwa kufanya mambo ya kijinga mbele ya watoto...kwani mtoto naye atakuwa mjinga.....
Nimekuelewa
Cha msingi kila mtu afurahie maisha
Watoto waangalie katuni
Wakubwa waangalia picha za X
Ilimradi wasivunje sheria
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
wakongwe tupo JF hata kabla whatsapp haijafahamika so hizo mambo za group zinawahusu nyinyi watoto wa juziNa ww rudi WhatsApp group lako la wacheza rede likifa ndo urudi JF
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
sawa basi underground mmeshinda sasa nendeni mkacheze facebook na insta mkikuwa wakongwe mrudi JF
wakongwe tupo JF hata kabla whatsapp haijafahamika so hizo mambo za group zinawahusu nyinyi watoto wa juzi