Undisputed champion, Evander Holyfield apoteza pambano kwa TKO

Undisputed champion, Evander Holyfield apoteza pambano kwa TKO

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Bondia wa ngumi za kulipwa Evander Holyfield(58) ambaye alistaafu mwaka 2011 alirejea ulingoni na kupambana Septemba 12, 2021 katika pambano la maonesho ambapo alipambana na Vitor Belfort(44)

Katika pambano hilo Evander hakuweza kurusha hata ngumi moja dhidi ya mpinzani wake ambapo akapoteza katika round ya kwanza kwa TKO

Evander Holyfield nI bondia pekee aliyeshikilia rekodi ya kushinda mikanda yote ya dunia kwa wakati mmoja (Undisputed Champion) kwenye madaraja ya cruiserweight na heavyweight

Dvander vs Belfort.jpg
 
Walikuwa wanajifurahisha tu, sio pambano serious.
 
Ndie aliyeng'atwa sikio miaka ile wakati michuano ya ndondi ni michuano kweli?
 
Back
Top Bottom