Adolf Hitler Jr
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 340
- 263
hawafurahii hilo tendo but ndo huongoza kwa kuzaliana kama simbilisiKwa nature ya kiafrika usipokua mnene inaonekana wewe ni maskini na maskini siku zote hawafurahii tendo la ndoa kama walivo matajiri
Kkuzaa sio kufurahia tendo la ndoahawafurahii hilo tendo but ndo huongoza kwa kuzaliana kama simbilisi
Ni Kweli. Kuna mmoja nilimdharau ila yuko Vizuri kwa bed... Balaaahalafu eti wadada husemaga watu wabonge hudumu kwenye bed muda mrefu.....
Ulipata tabu sanaNi Kweli. Kuna mmoja nilimdharau ila yuko Vizuri kwa bed... Balaaa
Tabu ya nini sanasana nainjoy sana Nikiwa naeUlipata tabu sana
Eeeh Super woman analala na maskini?!!!Ni Kweli. Kuna mmoja nilimdharau ila yuko Vizuri kwa bed... Balaaa
Punguza ukali wa maneno tena wewe ni muelewa sana.Hilo dude labda ulianzie diet kwanza hapo kwa mazoezi litahema kama mbwa.
Si baba asad huyu.Lengo la thread hii ni kuelimishana juu ya mada husika na si vinginevyo. Hivyo ningependa kujua maoni yenu na wenye shuhuda wafunguke
View attachment 887180
KivipiHilo dude labda ulianzie diet kwanza hapo kwa mazoezi litahema kama mbwa.
Unajua mimi sijui ni ushamba wangu ama sijielewi, hivi kuwa vizuri kwenye bed tafsiri yake ni nini hasa:Ni Kweli. Kuna mmoja nilimdharau ila yuko Vizuri kwa bed... Balaaa