M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya UNENE wa mwili na mtu kuwa mchafu (jasho, kutokujitawaza vizuri & kula kula ovyo). Chunguza wadada wengi wanene (hasa wenye wezere/ mzigo mkubwa) wengi wao ni wachafu kwa miili yao, nguo zao na chumbani kwake.
FUNZO: wanene jitahidini sana kujiweka katika hali ya usafi:
1. Hakikisha unaoga kila unavyopata nafasi
2. Beba lesso/handkerchief safi kwa ajili ya kujifuta jasho
3. General cleanliness chumbani kwako (punguzeni uvivu)
FUNZO: wanene jitahidini sana kujiweka katika hali ya usafi:
1. Hakikisha unaoga kila unavyopata nafasi
2. Beba lesso/handkerchief safi kwa ajili ya kujifuta jasho
3. General cleanliness chumbani kwako (punguzeni uvivu)