Mimi nina tatizo la weight pia lakini huwezi kujua kwa kuniangalia kwasababu nina zaidi ya 6 feet urefu. Hili tatizo lilianza baaba ya kupata kazi za kukaa ofisini kwa muda mrefu na sisi tulioko huku USA haswa state za south tunaendesha magani sana na kila wakati ukilinganisha na wenzetu wa north east kama New york au DC.
1. Protein ni Nzuri lakini uwe mwangalifu na baadhi ya vyakula. Mayai ni mazuri lakini usile kiini kwani kina Cholesterol nyingi ambazo ni tatizo kubwa sana hasa ukiwa na unene. Kula zaidi nuts kama karanga ni nzuri zaidi. Protein inasaidia kukuza misuli ambayo inakata mafuta.
2. Safisha system ya utumbo hii itakusaidia kwani inawezekana una uchafu mwingi unaobaki tumboni hasa kama unakula vyakula vya mafuta na unakaa kwa masaa mengi. Mimi natumia olovera juice au majani kuni clean na ninakuywa nusu glass mara tatu kwa wiki. Vilevile kuna majani ya chai ya kichina yanaitwa Green Tea dietary ukienda kwenye sehemu wanazouza dawa za kichina utaiona na hapa USA ipo kwenye store za Fieta Internation section.
3. Kama una mwili legelege ambao hauna nguvu kabisa inabidi uanze mazozi ya strength boxing, biking, running, na ufanye weight.
4. Chakula lazima ule breakfast kama unataka kupunguza weight na isizidi saa nne asubuhi kila siku. kula kidogo kidogo kila baada ya masaa 2 au 3. kama matunda hivi. Usile kabla ya kwenda kulala hakikisha una masaa mawili kabla huja lala wakati ukila. Punguza Chumvi, Sukari na Mafuta kwenye vyakula. Watalaamu wanasema kula vitu vinavyotoka chini, kwenye miti na majini tu lakini ni ngumu kwa wakati mwingine.
5. Fanya health Screening ya damu kila mwaka na mpelekee Dr