Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 1,271
- 1,604
Nawaza tu kama unga mfuko mmoja wa kilo 25 umefikia shilingi 42000 huku kijijini kwetu, je itakapofika januari itakuaje?
Serikali iliangalie hili gharama ya unga iko juu sana, tutakufa njaa.
Serikali iliangalie hili gharama ya unga iko juu sana, tutakufa njaa.