Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 1,271
- 1,604
John The Pubtist wewe huoni ubaya wowote uliopo mkuu hata kilo 25 ikiuzwa 100,000/= kwako sawa tu?Kawaida
Ukiuziwa kilo tsh 2000 ndio mbaya
Mahindi ya Ruzuku kilo tsh 900/=John The Pubtist wewe huoni ubaya wowote uliopo mkuu hata kilo 25 ikiuzwa 100,000/= kwako sawa tu?
900×25 = 22,500/=Mahindi ya Ruzuku kilo tsh 900/=
Unamteua msaidizi dhaifu, huku ukitegemea kutawala milele! Bahati mbaya, karma inafanya kazi yake; halafu unaleta story za mtanikumbuka!!"Mtanikumbuka, Mimi najua mtanikumbuka kwa mazuri tu na si mabaya"
Kwani Mama aliwekwa na nani?Baba alisema sitaki kusikia mkoa unali njaa, kipindi cha mama kila mkoa unalia msaada wa chakula. Ndo ujue hatari ya nyumba ikiongozwa na mama.
Kwani Mama aliwekwa na nani?
Karma ni hii ambayo watz tunapitia kwa kutokumsapoti mzalendo jiwe. Msaidizi nyie si ndio mnamwambia "unaupiga mwingi"Unamteua msaidizi dhaifu, huku ukitegemea kutawala milele! Bahati mbaya, karma inafanya kazi yake; halafu unaleta story za mtanikumbuka!!
For what!!!