Pitia kumbukumbu zako vizuri, GWM unawajua vema? Huyo ni mwanachama wa hilo kundi.Huyu jamaa kaanza Muziki Mwaka 1997 ila ana Album Moja Tu..
Aliimba nyimbo gani mm simjuiView attachment 394450
View attachment 394451
View attachment 394452
View attachment 394453
Huyu ni msanii aliekuwa maarufu wa nyimbo za bongo fleva k.r.mula!!inasemekana ni mtumia sembe mzuri!!!
Source!!muungwana blog!!
Kuna song moja hivi nadhani!!Aliimba nyimbo gani mm simjui
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu nimecheka sana!!eti kitambaa cha mashine ya unga[emoji15] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Daah hiyo pensi nayo inamuongezea uzito pensi gani hiyo kama mtambaa wa kutolea unga kwenye mashine ya kusaga.
Si wa Tmk wanaume huyuKuna song moja hivi nadhani!!
C.d mia saba sujui nini nini ukija kichwa unakula za uso saba!! Any way hua mkuu hizo ngimbo za kibongo sizijuagi!!
Umemsaidiaje Sasahilo si la kuhuliza Kwa KR ni kweli mtumiaji Mzuri saanaa ..afu kingine jamaa hajipendi ni Mchafu sanaa sijui kwanini
Asante mkuu kwa kunirekebishia title!![emoji120] [emoji120]View attachment 394450
View attachment 394451
View attachment 394452
View attachment 394453
Huyu ni msanii aliekuwa maarufu wa nyimbo za bongo fleva k.r.mula!!inasemekana ni mtumia sembe mzuri!!!
Source!!muungwana blog!!
Mkuu hiyo pensi kama ya kuigizia kina joti wanavaaga wawili.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu nimecheka sana!!eti kitambaa cha mashine ya unga[emoji15] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Haaa sory kama nimekosea vip mkuu kwani song lake ni lipi[emoji134] [emoji134]Si wa Tmk wanaume huyu
Hata silijuiHaaa sory kama nimekosea vip mkuu kwani song lake ni lipi[emoji134] [emoji134]
Bonge la pozi kha,hilo litakuwa linaitwa Mulla Pozi..Hilo pozi la mwisho ni ssshida
pensi nzuri tu sema muhusika mwenyeweDaah hiyo pensi nayo inamuongezea uzito pensi gani hiyo kama mtambaa wa kutolea unga kwenye mashine ya kusaga.
View attachment 394450
View attachment 394451
View attachment 394452
View attachment 394453
Huyu ni msanii aliyekuwa maarufu wa nyimbo za Bongofleva KR Mullah. Inasemekana ni mtumia sembe mzuri!
Chanzo: Muungwana blog!
Gangster with matatizoUnalifahamu kundi lililokuwa linaitwa GWM ?
Kwa kweli na AmenMungu tunusuru sisi na vizazi vyetu.