Unga unammaliza KR Muller wa Wachuja Nafaka na TMK Family

Anatafuta kiki ya kutolea ngoma mpya
 
Ina maana yupo nduki alafu bado ameikamata Miwani kwa makini hivyo?
 
Sasa sijui mapanga atapiga kwa mtindo huo?
 
Tumuulize TID mnyama maana ndio anadai amemsaini kwenye lebo yake ya RADAR
Yani alivoenda huko kwa tid ndo alipotea kabisaaa! Na kuna cku tid aliulizwa na kina soud brown kwamba walimsikia juma nature anadai kr amepotea na kuanza kutumia unga kwa kitendo chake cha kujiunga na mtumia poda tid,je ni kweli!? Tid akajibu kwa nyodo kbao kwamba juma nature kwanza rasta zake chafu hivyo azioshe kwanza halaf waende kupima hayo madawa kati ya kr na nature nani atakutwa ana sumu mwilini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…