Kiziwanda chema
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 288
- 478
Ulikua na umri gani ulipogundua kuwa ugali wa Dona sio unga unaotokana na mahindi yasiyokobolewa bali ni unga wa msaada kutokana na njaa ya mwaka 1984 *(unga wa Donor... From Donor country)* 😄
Wewe endelea kusema Dona ni unga wa mahindi yasiyokobolewa 😊😊
Wewe endelea kusema Dona ni unga wa mahindi yasiyokobolewa 😊😊