Unga wa fuvu la kichwa cha binadamu aliyekufa hutumika kama dawa ya kuwaona wachawi


MUONGO WEWE!
 
Kwanza niungane na wewe kwamba WAMEKUFURU na WAMELAANIWA na MWENYEZI MUNGU wote wenye kuchezea uchawi na wale wadau wa hawa wachawi.Ndugu zangu Watz,hawa waganga watumishi wa mashetani ndio chanzo cha kuuawa maalbino,watu kunyofolewa viungo n.k.Mashetani wanawaagiza wanachotaka,nao wanatekeleza tu kwani nao wameshakua mashetani kwenye nyoyo zao.Jihadharini na waganga wanaokuagizeni vitu vya ajabu ajabu.Jihadharini na hawa watu.
 
Mimi natafuta nahitaji kukutana majini yasiyo makatiri. je nifanyeje tena natuta la kike
 
Duh hiyo hapana. Hivi sasa ukishawaona unafanyaje
 

Hivi yawezekana kuwa na huo unga wa binadamu ambaye bado hajafa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…