Miaka ile wakati nasoma pale karibu na redio Uhuru njia ya St Bernard Hosp nilikuwa na bibi anapika chapati za unga wa muhogo. Loh mwezi wa Ramadhan ulikuwa balaa. Kila kitu sh 500, nyama mnafu wa maana, chapati, na futari uji bure pia wa muhogo.Ila alikuwa na matusi ya kilo nyingi yule bibi.