Natanguliza salamu kweny wanaJF.
Nipo kwenye wakati mgumu mno kwenye maisha yangu kwani maamuzi yangu ndio yataamua future yangu. Nilikuwa na boyfriend wa tangu chuo, kwa miaka miwili na miezi kadhaa tumekuwa wote.
Tumepitia ups and downs nyingi lakini siku zote tunasameheanaga kwa sababu tumekuwa watu wa malengo na kuogopa sana mahusiano mapya, hivyo mara zote hata tugombane vipi lazima tuje kusolve.
Binafsi ni muaminifu sana na hata ex bf wangu pia sio mtu wa wanawake kabisa maana nina access na simu yake muda wowote na miaka yote hiyo sijawahi kuona kiashiria chochote. Kuhusu suala la afya, tumekuwa very careful na tuna tradition ya kupima every after 3 months or anytime mtu akisuggest.
Mwishoni mwa mwaka Jana tulikuwa tunagombana sana kwa issues tofauti tofauti (sio usaliti) ikapelekea kukaliana kimya kwa miezi.
Mimi nikakutana na jamaa mwingine maana nilishaona mahusiano na mwenzangu yameisha na nimejitahidi sana kusolve ila hakuna solution.
Jamaa niliyemeet naye ni older kwangu kwa miaka michache (hajafika 35), very matured na anataka sana serious relationship.
Tukapima na kuanza relationship, in one month jamaa akanitambulisha in his family na anataka kuja kwetu kujitambulisha.
Jamaa anaplay roles zote kama mwanaume, kuanzia kodi, chakula na kila kitu. Anasali sana na anataka sana kuoa na kuwa na familia.
My ex-boyfriend tuliyekuwa tumekaliana kimya kwa miezi minne ananicheck, akitaka turudiane. Kiukweli nampenda kwa sababu tumetoka mbali lakini kinachonifanya niwe dilemma ni kwamba ex-boyfriend hajawahi kunitambulisha kwao, hata kwa ndugu zake na anasema kila kitu ni process, akiwa financially stable atanipeleka. Kuhusu maokoto kiukweli hana ila ni vile tu nina historia naye ndefu ya tangu skuli.
Ungekuwa wewe ungeamuaje? Ungechagua mwanaume unayempenda ila bado hana pesa na hajakutambulisha kwao? Au ungechagua mwanaume anayekupenda na anakuhudumia na yuko tayari kwa familia na ameshakutambulisha kwao?
Nipo kwenye wakati mgumu mno kwenye maisha yangu kwani maamuzi yangu ndio yataamua future yangu. Nilikuwa na boyfriend wa tangu chuo, kwa miaka miwili na miezi kadhaa tumekuwa wote.
Tumepitia ups and downs nyingi lakini siku zote tunasameheanaga kwa sababu tumekuwa watu wa malengo na kuogopa sana mahusiano mapya, hivyo mara zote hata tugombane vipi lazima tuje kusolve.
Binafsi ni muaminifu sana na hata ex bf wangu pia sio mtu wa wanawake kabisa maana nina access na simu yake muda wowote na miaka yote hiyo sijawahi kuona kiashiria chochote. Kuhusu suala la afya, tumekuwa very careful na tuna tradition ya kupima every after 3 months or anytime mtu akisuggest.
Mwishoni mwa mwaka Jana tulikuwa tunagombana sana kwa issues tofauti tofauti (sio usaliti) ikapelekea kukaliana kimya kwa miezi.
Mimi nikakutana na jamaa mwingine maana nilishaona mahusiano na mwenzangu yameisha na nimejitahidi sana kusolve ila hakuna solution.
Jamaa niliyemeet naye ni older kwangu kwa miaka michache (hajafika 35), very matured na anataka sana serious relationship.
Tukapima na kuanza relationship, in one month jamaa akanitambulisha in his family na anataka kuja kwetu kujitambulisha.
Jamaa anaplay roles zote kama mwanaume, kuanzia kodi, chakula na kila kitu. Anasali sana na anataka sana kuoa na kuwa na familia.
My ex-boyfriend tuliyekuwa tumekaliana kimya kwa miezi minne ananicheck, akitaka turudiane. Kiukweli nampenda kwa sababu tumetoka mbali lakini kinachonifanya niwe dilemma ni kwamba ex-boyfriend hajawahi kunitambulisha kwao, hata kwa ndugu zake na anasema kila kitu ni process, akiwa financially stable atanipeleka. Kuhusu maokoto kiukweli hana ila ni vile tu nina historia naye ndefu ya tangu skuli.
Ungekuwa wewe ungeamuaje? Ungechagua mwanaume unayempenda ila bado hana pesa na hajakutambulisha kwao? Au ungechagua mwanaume anayekupenda na anakuhudumia na yuko tayari kwa familia na ameshakutambulisha kwao?