Watu mnafurahisha kweli. Kama vile wewe ni malaika. Kila mtu ana ukurasa wake ambao asingependa kuusoma kwa sauti hivyo usijifanye mtakatifu au mwerevu sana.Ee Mwenyezi Mungu nisamehe kwa kusoma huu uzi wa kipumbavu ambao una ladha mbaya ya chai isiyo na sukari. Amen
Huyo x smekwambia anatak kukuoa?Jamaa mpya sio kwamba ni tajiri, ni anatoa kama mwanaume anavyotoa kwa mpenzi wake. Ex tulikaliana kimya kwa miezi kadhaa ila ni mtu tuna miaka kadhaa kwenye mahusiano. Vaa viatu vyangu halafu toa ushauri.
Wewe ni mpumbavu mno. Yote uliyoandika ni ushenzi. Hata ukiolewa utaendelea kuwa na tabia za usaliti. Wewe unatakiwa uwe single mama.Sasa si ndio maana nimeomba ushauri ili hayo mabaya yasitokee! Au bado unajudge hata mtu akiamua kufunguka kuelezea anachopitia na akaomba ushauri!? Halafu kutukana sio ujanja, nimechagua kuwa muungwana hivyo usinione siwezi kutukana kama unavyofanya.
Ungeenda kuomba ushauri PM kama hutaki comments zangu.Mwanamke wako ulimkuta bikra? Ulisubiri/utasubiri mpaka ndoa ndio msex? Kama sivyo basi acha kujudge .
Sawa nashukuru. La nyongeza? Halafu sikujua kama kuwa single mama ni tusi pia aiseeeWewe ni mpumbavu mno. Yote uliyoandika ni ushenzi. Hata ukiolewa utaendelea kuwa na tabia za usaliti. Wewe unatakiwa uwe single mama.
Nazitaka. Ongezea matusi mapya tafadhali, hayo uliyoandika yote nayajua.Ungeenda kuomba ushauri PM kama hutaki comments zangu.
Yupi unampenda kati ya hao??Jamaa mpya sio kwamba ni tajiri, ni anatoa kama mwanaume anavyotoa kwa mpenzi wake. Ex tulikaliana kimya kwa miezi kadhaa ila ni mtu tuna miaka kadhaa kwenye mahusiano. Vaa viatu vyangu halafu toa ushauri.
Kiukweli nampenda ex (ingawa ana drama nyingi, kununa kwingi na bado anajitafuta). Huyu wa sasa imebidi niwe naye kwa sababu sipendi kuwa single na kiukweli ni responsible sana. Ila moyo aiseeYupi unampenda kati ya hao??