Ungefanyaje kama ndio umeambiwa wewe?


kuna mwanaume mmoja alishaniambia yeye ajawahi kumtongoza mwanamke akamkataa, kwa sababu kabla ajamtokea kuna ishara alishaziona na akajua hapa napendwa ndipo akamtokea., so hapo kwenye bld nakubaliana na wewe mkuu.

huyo binti kama kweli anampenda mwanaume asimwambia mojakwamoja bali amtege, anaweza akamwambia amsindikize mahali, na vitu kama ivyo
 
Mwambie us women, we learn to love, ila wanaume wanapenda kwanza na akishakuja kwako tayari kavutiwa , na sie from there ndio tunaanza kutafuta kama tunaweza kuwapenda back, kwa hiyo asikatishwe tamaa kwanzamara nyingi wanaume wakitongozwa huwa wanaogopa, na hata akikuchukua anaweza asikuthaminishe kivile, kwa hiyo atakaa na wewe siku mbili then anakutosa
 
sifahamu mkuu ndio maana nimejaribu kutafuta mawazo



QUOTE=The Finest;2077773]Hivi siku hizi wanawake hawatongozi???[/QUOTE]
 
Kama walivyotangulia wengine, me naona ajaribu tafuta sehemu ambazo huyo jamaa anapenda kupumzika/ viwanja vyake, ajaribu kujenga urafiki na huyo jamaa. mwanzo uwe uhusiano wa kawaida tu ili amxome jamaa fresh. mwanamke asijioneshe kama yeye mambo xafi xana jamaa asije akaogopa jinsi ya kumhudumia

Ni vizuri akawa na majibu mawili, kufanikiwa au kushindwa ili asije akaumia xana. vilevile usiwe mchaguzi xana mana umri unaenda na xoko lako linapungua. mafanikio mema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…