Ungejuaga mapema baada tu kumaliza form four ungeenda kusomea nini na wapi?

Ungejuaga mapema baada tu kumaliza form four ungeenda kusomea nini na wapi?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Ni watu wachache ambao imewabidi kazi yao wanayofanya Kwa sasa waikubali tu Kwa sababu walijikuta wamesema vyuoni na inawapa Hela na ukizingatia uchache wa ajira ila wengi Kiukweli baada ya kumaliza form 4 hawakuwa na akili kama waliyonayo Kwa sasa.

Binafsi ungenirudisha Tena form four 2012 na nikafaulu vilevile vizuri halafu ndo unipe nifanye maamuzi Kwa akili ya utambuzi ya sasa iliyojifunza maarifa mengi Duniani basi nisingeumiza kichwa ningeenda zangu kusomea ufundi hasa mechanics kisha ningeingia jeshini Kwa maana uwezo wa kusomeshwa ufundi ulikuwepo na vilevile connection za kuingizwa jeshini zilikuwepo. Mimi nikajikuta nataka niwe sijui dokta Mara pilot nikajichanganya six, Mara chuo unachosomea huko ni fan ingine kabisa na miaka inaenda unajikuta vigezo vya kuingia jeshini huna Tena umri umeenda kumbe ungepigaga makozi ya kibabe ukafight uingie jeshini na matokeo mazuri cheo kupanda ni fasta tu.
 
2012. Haya kijana wa 28-29 nikwambie kitu. Wewe ulitakiwa kusoma sana na pia hukutakiwa kukata tamaa. Na chuo kina umuhimu wake mkubwa sana. Meaning degree. Achana na huo ukundukuga wako wa ningekuwa form four. Kijana hata mdogo wako hapo nyumbani. Mwambie asome na akajikite katika course nzuri ya degree chuoni.
Hao unaowaona form four sijui kaawa fundi saiv ana mark 2 chaser kaiweka tairi namba 17 na mzimi wa 180,000 achana nao. Waambie wadogo zako wasome mpaka chuo. There's no way around.
 
2012. Haya kijana wa 28-29 nikwambie kitu. Wewe ulitakiwa kusoma sana na pia hukutakiwa kukata tamaa. Na chuo kina umuhimu wake mkubwa sana. Meaning degree. Achana na huo ukundukuga wako wa ningekuwa form four. Kijana hata mdogo wako hapo nyumbani. Mwambie asome na akajikite katika course nzuri ya degree chuoni.
Hao unaowaona form four sijui kaawa fundi saiv ana mark 2 chaser kaiweka tairi namba 17 na mzimi wa 180,000 achana nao. Waambie wadogo zako wasome mpaka chuo. There's no way around.
Kila kozi Ina umuhimu wake ndo maana tunategemeana hata injinia mwingine Kwa sasa anataman huenda angesomeaga uhasibu.. Ndo maana nimesema mimi binafsi ningeedaga diploma ya ufundi mitambo kisha jeshini.
 
ningeenda NIT tu
Dah mwanangu samweli alijiongeza na div. Three yake akaenda udereva NIT nakuja kukutana naye mwaka Jana siku ya ukimwi Duniani alikuja mama Samia Lindi kwenye msafara ulivyosimama kuhutubia si unajua madereva wanashuka kwenye magari kupunga upepo mimi na dereva wetu tukamuona kwenda kumsalimia dah kumbe alikula shavu BOT Kwenye misafara yote ya Rais anaenda pembeni yake anapiga story na dereva wa mawaziri wa ujenzi n. K. Aisee kunipa story anasema per diem zao zinafika Mpaka laki tatu Kwa siku na unapigwa ya siku 90 kabisa... Udereva mtamu sana naona hata job kwetu jinsi wanavyotoka japo hawamfikii rate afisa ila afisa unaweza kupigwa bench hata mwezi usitoke ila sio Kwa dereva aisee mixer kuazimwa na MWENGE, tasaf n. K
 
Kilimo na uvuvi pamoja na sekta ya madini zinalipa.ukisomea Moja ya hivo vitu na ukavielewa na ukaamua kuifanya wewe Kwa vitendo,uhakika wa kupato kuanzia Cha kati na kuendelea ni uhakika
 
Back
Top Bottom