Hivi ungekuwa wewe ndiye MCHAWI uchague moja kati ya hivi:
MOJA
Ubuni teknolojia ya kufanya shamba lijilime, lijipalilie na lijivune
PILI
Ubuni teknolojia ya kufungua mlango wa mtu (ikiwemo wa geti) uingie chumbani umnyanyue bila huyo mtu kuamka ukamlimishe fasta fasta kisha umrudishe bila kushtuka ipi rahisi hapo?
Umewaza kwa akili ya kibinadamu ambayo ina michakato mirefu
Mchawi hahitaji kufanya shamba lijilime kwakuwa mwisho wa yote unachotaka ni mavuno... Hivyo yeye akitaka atayapata mavuno bila kulima
Mchawi hajisumbui kufanya namna aingie getini kwakuwa tayari hiyo sayansi anayo na anaweza kucheza na Mwili wako jinsi atakavyo yeye bila ufahamu wako hiram,