ungekuwa mke wake, Ungefanyaje?

ni kumvisha tu nguo, kumuacha apoe, kushukuru mungu hajauawa halafu kuanza tribunal kwa kwenda mbele
 
ntamwambia he!! bora umechelewa sababu ungewahi kidogo na mimi ungenifumania na mume wa mtu lol!
 
simuonei huruma coz mie si mama yake .............ende kwao mama yake atamfungulia mlango
 
Sijui ningefayaje kama ningekuwa mke wake, maana mimi tall nimezaliwa mwanamme na sitegemei siku moja nitakuwa mwanamke achilia mbali kuolewa.
 
cwez hata kuielezea...wacha ninyamaze tu.
 
Chapa bakora halafu kapime ukimwi baada ya hapo!
 
Ask God to give me courage not to finish what the man had started...halafu secret weapon silence....silence ....silence...Hii itamuuma zaidi, maana hatajua ninapanga kufanya nini.
 
Ask God to give me courage not to finish what the man had started...halafu secret weapon silence....silence ....silence...Hii itamuuma zaidi, maana hatajua ninapanga kufanya nini.

Ni kiboko cha wakware wote! Hataisha kujistukia as a result kama ni mtu wa kujirudi mwenyewe anajipiga stop! Yaani hata nguvu kidogo hutumii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…