lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Kuna wanamuziki wengi wakali sana mf.twenty percent,belle9,quchilla,ben paul nk. waigizaji wakali sana kina bi.star,muhogo mchungu,kina senga na wengine weng yaan huwa hawaonekan kwny tuzo lkn wana vipaji vya ukwl pengine kwa kukosa promo au kukosa management nzr ama nyota tu mbovu unadhan nan unamkubal ila unaona kama anabaniwa tuzo?