Hapa hakuna cha kujishauri,jamaa mwenyewe hana kazi kazi yake ndio kumimbalaize watu tuu,mama fungasha vilago uondoke,ukisubiri tuu utaletewa ngoma!!![/QUOTE
Yani jitu halina kazi linakungoja wewe uhangaike huko mchana wote working your ass off uje ulilishe, kumbe kazi yake kungonolize na kila kiumbe wa kike mtaani na ndani lol!