REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Ntakupa yangu upeleke kwa fund then utanrudshia si et enheeHapo hakuna hata cha kufanya zaidi ya kumpelekea mwenyewe simu yake kwa sababu siku zote simu zina mambo mengi.
Ndio nakurudishia hata ikiwa na msg zaidi ya hiyo. Unaweza kuta mtu kakosea namba.Ntakupa yangu upeleke kwa fund then utanrudshia si et enhee
Ha ha ha kama kwel vile usamavyo Wakat najua utakuja na kila Aina ya silahaNdio nakurudishia hata ikiwa na msg zaidi ya hiyo. Unaweza kuta mtu kakosea namba.
Hahahaaa
Walaa! Silaha kama zina uhakika sasa ikiwa hata uhakika nazo sina silaha za nini sasa hapo.Ha ha ha kama kwel vile usamavyo Wakat najua utakuja na kila Aina ya silaha
Ha ha ha bas nina simu moja ilizma ghafla tu acha niipitshe kwako ukafanye msaada ila stak povuWalaa! Silaha kama zina uhakika sasa ikiwa hata uhakika nazo sina silaha za nini sasa hapo.
Hahaaa! Kama unaileta kwa lengo la povu lazima liwepo ila kama kwa ajili ya kutengenezwa tu aa itatengenezwa na utarudishiwa.Ha ha ha bas nina simu moja ilizma ghafla tu acha niipitshe kwako ukafanye msaada ila stak povu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio hapo kihere here cha kujipa majukum yasio yako yakuishe.
Kama hujamuoa mambo ya kuchunguza simu Ni kuweka uhusiano rehani......
Watu wanaishi kwa kuviziana. Kila mtu ana substitute zake
Ke wana sponsors kadhaa....
Me wana side chicks kadhaa
Irudshwe bila kukaguliwa labda kama moyo wako umeupeleka serviceHahaaa! Kama unaileta kwa lengo la povu lazima liwepo ila kama kwa ajili ya kutengenezwa tu aa itatengenezwa na utarudishiwa.
HahahaaaIrudshwe bila kukaguliwa labda kama moyo wako umeupeleka service