Mwamba028 JF-Expert Member Joined Nov 15, 2013 Posts 4,595 Reaction score 3,670 Feb 3, 2018 #1 Mko kwenye Ndege halafu ghafla unasikia tangazo lifuatalo.. "Mabibi na Mabwana, Mimi ni Rubani wenu Naeongea, ..Ukiangalia upande wako wa kulia Utaiona Flight namba 195 inajaribu kupambana na sisi katika mbio" "Hivyo Nawaomba mfunge mikanda yenu vizuri maana mpambano unaenda kuanza rasmi"
Mko kwenye Ndege halafu ghafla unasikia tangazo lifuatalo.. "Mabibi na Mabwana, Mimi ni Rubani wenu Naeongea, ..Ukiangalia upande wako wa kulia Utaiona Flight namba 195 inajaribu kupambana na sisi katika mbio" "Hivyo Nawaomba mfunge mikanda yenu vizuri maana mpambano unaenda kuanza rasmi"
Mr Miller JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 11,449 Reaction score 25,768 Feb 3, 2018 #2 ningefunga mkanda na kuweka headphones sikioni kusikiliza music
Tasbeeh313 JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 1,919 Reaction score 2,054 Feb 3, 2018 #3 Mkuu upo angani unaskia hiyo announcement utafanya kitu gani zaidi ya kusubiri "Final destination" ingekuwa gari au treni kidogo lakini ndege inabidi uwe mpole na kutubia
Mkuu upo angani unaskia hiyo announcement utafanya kitu gani zaidi ya kusubiri "Final destination" ingekuwa gari au treni kidogo lakini ndege inabidi uwe mpole na kutubia
Mwamba028 JF-Expert Member Joined Nov 15, 2013 Posts 4,595 Reaction score 3,670 Feb 3, 2018 Thread starter #4 Ha haa,,me nngem text pilot kuwa afanye juu chini huyo boya asitupite [emoji3] [emoji3] [emoji3]