Ungekuwa wewe ungefanyeje -kwa wanandoa

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,619
Habari wote,


>>>Harry alipochoka kufanya kazi zake akazima taa, akambusu mkewe,
>>>akalala na usingizi mzito ukampitia. Mara akamwona mwanamme amesimama
>>>kitandani.
>>>
>>>"Toka hapa nani wewe unakuja kitandani kwangu?"
>>>"mimi ni mtakatifu Petro na hapa si kitandani kwako bali ni mbinguni"
>>>"Ina maana nimekufa? Mbona mimi bado kijana? Naomba unirudishe duniani."
>>>"Inawezekana, lakini siwezi kukurudisha kama mtu, labda nikurudishe
>>>kama mbwa au kuku"
>>>
>>>Harry akakumbuka mbwa anavyopata taabu ya kulinda, " Bora nirudi kama
kuku"
>>>
>>>Mara akajikuta yuko kwenye banda, akiwa kuku jike na matakoni kunawaka
>>>moto. Akamwona jogoo pembeni, akamwambia shida yake.
>>>
>>>"Kaka ninasikia moto matakoni, inakuwaje?"
>>>"Kwani hujawahi kutaga weye?" Jogoo akamjibu kwa maringo.
>>>"Sijawahi"
>>>"Chuchumaa, kamua kwa nguvu yai litoke."
>>>
>>>Basi akakamua, yai la kwanza likatoka, akakamua tena yai la pili hilo!
>>>Akiwa anataka kukamua yai la tatu akasikia sauti ya mke wake.
>>>
>>>"Harry, pumbavu wewe, unakunya kitandani!"









 
Bebii...nirudishie hela yangu ya kiingilio...
 
Bebi umewaza nini kurusha uzi huu lakini?i
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…