Ungekuwa wewe ungetoa adhabu gani?

Hakuna haja ya kutoa adhabu hapo. Nitakachofanya ni kutokuwa committed tu basi.....
 
adhabu ya nini dawa ya wanawake siku hizi ni kuwachapa nao kwa sana ukimpata we mpige nao kisawasawa alafu usihangaike kumfatilia sana utaumia moyo hawaaminiki si wake za watu wala walokole wote hakuna mwenye sifa ya kuolewa noma sana wana mademu hawa we acha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…