binti ashura
Senior Member
- Jan 14, 2011
- 118
- 19
ndugu zangu ni muhimu sana wote tushiriki katika uandaaji wa katiba mpya! itakuwa jambo la muhimu sana iwapo kila mwananchi mwenye ufahamu atoe mchango wake wa mawazo ili katiba itakayoundwa isiwe na vilakavilaka. mie ningependekeza hata kama wewe unanafasi fulani serikalini changia mawazo kama vile wewe hupo kwenye nafasi fulani jifanye kama ni raia wa kawaida. mfano wewe waweza kuwa mbunge unapochangia futa mawazo ya kuwa wewe ni mbunge.
naomba kuwakilisha!
naomba kuwakilisha!