binti ashura
Senior Member
- Jan 14, 2011
- 118
- 19
Mimi ningependa katiba mpya iwe na kipengele kinacholazimisha kuweka wazi mishahara ya viongozi wote wa juu wa serikali kuanzia raisi, makama wake, raisi wa Zanzibar, waziri mkuu, mkuu wa majeshi ya ulinzia na usalama, polisi, magereza, mgambo, JKT, majaji wote, na kadhalika.
ndugu zangu ni muhimu sana wote tushiriki katika uandaaji wa katiba mpya! itakuwa jambo la muhimu sana iwapo kila mwananchi mwenye ufahamu atoe mchango wake wa mawazo ili katiba itakayoundwa isiwe na vilakavilaka. mie ningependekeza hata kama wewe unanafasi fulani serikalini changia mawazo kama vile wewe hupo kwenye nafasi fulani jifanye kama ni raia wa kawaida. mfano wewe waweza kuwa mbunge unapochangia futa mawazo ya kuwa wewe ni mbunge.
naomba kuwakilisha!
ndugu zangu ni muhimu sana wote tushiriki katika uandaaji wa katiba mpya! itakuwa jambo la muhimu sana iwapo kila mwananchi mwenye ufahamu atoe mchango wake wa mawazo ili katiba itakayoundwa isiwe na vilakavilaka. mie ningependekeza hata kama wewe unanafasi fulani serikalini changia mawazo kama vile wewe hupo kwenye nafasi fulani jifanye kama ni raia wa kawaida. mfano wewe waweza kuwa mbunge unapochangia futa mawazo ya kuwa wewe ni mbunge.
naomba kuwakilisha!
Mimi ningependa baraza la maaskofu litambuliwe rasmi kikatiba na lipewe meno ili kuiepusha nchi kuangukia mikononi mwa shetani
ndugu zangu ni muhimu sana wote tushiriki katika uandaaji wa katiba mpya! itakuwa jambo la muhimu sana iwapo kila mwananchi mwenye ufahamu atoe mchango wake wa mawazo ili katiba itakayoundwa isiwe na vilakavilaka. mie ningependekeza hata kama wewe unanafasi fulani serikalini changia mawazo kama vile wewe hupo kwenye nafasi fulani jifanye kama ni raia wa kawaida. mfano wewe waweza kuwa mbunge unapochangia futa mawazo ya kuwa wewe ni mbunge.
naomba kuwakilisha!