I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Wasikate tamaa watengeneze sera thabiti na madhubuti bila kuingiza agenda nyingine zisizofaa kama kejeli ,matusi na chuki juu ya chama tawala katika mioyo ya wananchi . Wasipoweza kuchukua nchi sasa wataweza kuchukua baadae.