Uchaguzi 2020 Ungependa kuvishauri nini Vyama vya Upinzani kuhusu Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu?

Uchaguzi 2020 Ungependa kuvishauri nini Vyama vya Upinzani kuhusu Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu?

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Wasikate tamaa watengeneze sera thabiti na madhubuti bila kuingiza agenda nyingine zisizofaa kama kejeli ,matusi na chuki juu ya chama tawala katika mioyo ya wananchi . Wasipoweza kuchukua nchi sasa wataweza kuchukua baadae.

ukawa.jpg
 
Ikitokea dhulma wasilalamike, waandae majina ya wahusika waliohusika kuhujumu upinzani, waandae mpango kabambe wa kuwafundisha adabu, iwe Ni mchana ama usiku, ikibidi kuwatanguliza kuliwa na mchwa
 
Waupiganie ushindi wao kwa gharama yoyote ile. Ifikie wakati waseme enough is enough. Wasiwaogope policcm wala tumeccm.
 
Wakipata pesa ya kampeni waitumie Kama mtaji kufungua miradi....waachane na siasa.
 
Back
Top Bottom