Wasikate tamaa watengeneze sera thabiti na madhubuti bila kuingiza agenda nyingine zisizofaa kama kejeli ,matusi na chuki juu ya chama tawala katika mioyo ya wananchi . Wasipoweza kuchukua nchi sasa wataweza kuchukua baadae.
Ikitokea dhulma wasilalamike, waandae majina ya wahusika waliohusika kuhujumu upinzani, waandae mpango kabambe wa kuwafundisha adabu, iwe Ni mchana ama usiku, ikibidi kuwatanguliza kuliwa na mchwa