Ungepewa "umoderator" leo, nani ungeanza kumpiga "ban"?

Kutajana majina waziwazi hivi,huko ni kutafutiana ubaya tu.kwani huwezi kuweka uzi bila kutaja majina ya watu??.
 
Ningeanza na wewe kwa kujiita bikra wakati kila kona umeshapitia__Joke
 
Ningemlima yule jamaa wa interesting.... Kila uzi ni interesting, ningempa ban interesting
 
mimi ingewaondoa wooote wanaoonekana wana chembechembe za u CCM
 
Aisee mimi ningeanza na hawa
1.Monnica
2.Ladyj
3.Lizaboni

Wana wivu kweli wadada hawa[emoji2] [emoji2]

Je wewe ungeanza na nani?

View attachment 429251
Ebu imajini jf wote tuwe na mtazamo mmoja, kitaboa sana! Mitazamo tofauti ya watu tofauti ndo inafanya jukwaa lichangamke, kwa mimi wale walio quiet na wala hawachangii ningewapa BAN ya laifu.
 
Ina waathiri hata wenye Device zaidi ya moja?
In most cases. Kwa hiyo kama mnatumia internet ya ofisi ku access mtandao, wengi mtaathirika kama mko JF. Take note of that. Kuna mmoja alikuja kulalamika kwamba hapati JF akiwa ofisini, kumbe kuna mwenzake aliandika takataka, akala ban ya IP. Ikala kwao wote kwenye ofisi ile.
 
JF inabidi ifikiri upya juu ya BAN, hapa tunaexpress mawazo na siyo Identities.
 
we ningekuwa mimi JF pasingekuwa mahali salama
mngeishi kama MASHETANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…