Ungetamani kusikia collabo ya wasanii gani?

Ungetamani kusikia collabo ya wasanii gani?

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Muziki wa Tanzania una wanamuziki wenye uwezo mkubwa lakini muziki wetu hauendelei mbele kwenye mataifa mengine kwa sabau hakuna ushirikiano baina ya wasanii. Naamini wasanii wa kishirikiana wanweza kusaidiana kuupeleka muziki wa Tanzania level za kimataifa.

Je, Wasanii gani wa Tanzania ambao hawajawahi kufanya 'Collabo' na unatamani wakutane studio pamoja?
 
Muziki wa Tanzania una wanamuziki wenye uwezo mkubwa lakini muziki wetu hauendelei mbele kwenye mataifa mengine kwa sabau hakuna ushirikiano baina ya wasanii. Naamini wasanii wa kushirikiana waweza kusaidiana kuupeleka muziki wa Tanzania level za kimataifa.

Je, Wasanii gani wa Tanzania ambao hawajawahi kufanya 'Collabo' na unatamani wakutane studio pamoja?
Diamond vs alikiba
Aikiba vs harmonize
. harmonize vs diamond
 
Zuchu ft Nandy
Nandy ft rubi
Mauwa sama ft Zuchu
Marioo ft Mbosso
Lavalava ft Marioo
Khadija kopa ft Mzee yusuph
Diamond ft wizkid
Young lunya ft young killer
Diamond ft darassa
Darassa ft young lunya
Diamond ft Alikiba


Ukiondoa mabifu na nyodo za wasanii, hizi ndizo the best collabo kwa East Africa
 
Muziki wa Tanzania una wanamuziki wenye uwezo mkubwa lakini muziki wetu hauendelei mbele kwenye mataifa mengine kwa sabau hakuna ushirikiano baina ya wasanii. Naamini wasanii wa kishirikiana wanweza kusaidiana kuupeleka muziki wa Tanzania level za kimataifa.

Je, Wasanii gani wa Tanzania ambao hawajawahi kufanya 'Collabo' na unatamani wakutane studio pamoja?
Johmakini ft FidQ
 
Back
Top Bottom