unique characteristics of udom. THE BEST PLACE TO BE

unique characteristics of udom. THE BEST PLACE TO BE

Mao ze dong

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2012
Posts
941
Reaction score
1,012
1.Mara oooh, udom wanafundishwa na tutorial, kuanzia nimeanza coz zangu sijawah fundishwa na tutorial isipokua kipind cha LG. Ni chuo gan Tanzania hakina tutorial?
2. Eti udom chuo cha kata. Wengi vyuo vyenu vipo kama secondary, udom ni bonge la nchi iliyo na kila kitu ndani yake, chuo gan tanzania kinaweza kuchukua zaid ya wanafunz 40000 kwa makadirio ya chini? Mmepigwa gep kwaiyo lazma mta diss.
3.Ninasoma education boom nimelamba 100% kuliko mambulula wa vyuo vingine.
4. Nikimaliza napata ajira kama kawa na mshahara ni sawa disregard umesoma chuo gan
5.udom life kama Mbele vile, furniture kama za Naura spring au kibo palace alafu imagine nalipia jero, muache kudis sasa.
6. Udom room unakaa hata mwenyewe ukitaka wengine kila cku kukimbizana na daladala,mara kodi ya nyumba,mara kitanda kimoja mlale wawili,mmmh! Lazima utadis.
7. Tatizo la mikopo lipo social na humanities huku education unalamba boom at a time
ni kweli hakuna organization isiyo na changamoto. Changamoto za udom ni
1. Siasa za kikwete kwenye uteuzi wa viongoz
2. Udini kwenye nafas za ajira
3. Kucheleweshwa kwa mikopo kwa watu wa humanities

leo hii ukitaka kujua Udom nch zingine wanakikubali kuna mamia ya watu kutoka msumbiji, malawi botswana na zimbabwe.

Leo hii udom kina miaka 4 lakini kina compete na Ud cha zaid ya miaka 50. So baada ya kikwete kuondoka madarakani hakuna chuo tanzania kitafikia udom kwa kila kitu.
Sasa kuna competation kubwa kati ya ud na udom ndo maana kila cku utaskia kashfa kuhusu udom.
Mmmmmh!! Lazima mkae!!!
 
Kumbe kuna mtu anaitwa Tutorial naye anajua kufundisha watu! Hongera.
 
Vp kale katabia ka kulishwa kiporo na mwarabu, vumbi na usafiri wa kutoka mjin 2 ngox siku za wkend!
 
Hivi ulizaliwa mwaka tisini na ngapi vile?

UDOM hakiwezi kufananishwa na UD hata siku moja? soma taarifa zinazotolewa.

La msing dogo si kufananisha vyuo bali ni wewe kujiandaa na gemu baada ya kumaliza chuo. inabidi uwe the best graduate utakacompete kwenye soko la ajira na ujasiria mali. huwezi kuajiriwa eti kwakua umesoma chuo gani?
 
It's unfortunate kwamba ubora wa Chuo haupimwi na vigezo ulivyovitaja. Chuo kinatambulika kwa research papers zilizokua published nacho, number ya PhDs, quality ya graduates wake n.k. Uzuri wa majengo na idadi ya wanafunzi sio issue coz vyuo vingine hata darasani Watu hawaingii wanakutana ktk mtandao tuu!
 
watu wengi najua watakataa ila udom bado ni chuo kinachokuwa kwa kasi ya ajabu nafikiri hizo changamoto alizotaja mtoa mada zikifanyiwa kazi udom inaweza kuja kuwa Havard ya africa .
 
Ukweli vyuo vyote nchi hii vina changamoto. Huko UDSM watu wanasikiliza lecture wamesimama mpaka haijulikani nani ni mwalimu. wengine wanasikiliza kupitia madirishani, je ndo ubora huo? UDSM ubora ulikuwepo zamani labda mwisho 1990 kwa sasa hakuna lolote. KWanza wenye Masters na PhD hawafundishi kabisa kazi kusaka consultancy, research na kuandika vitabu ili wapande vyeo. SUA ndo usiseme watu wamo mbioni kusaka uprofesa.

kuna haja ya kuangalia mfumo wa elimu ya juu nchi hii.
 
wa vyuo vya kata utawajua tu, hawaishi kujibalaguza. ubora wa chuo si majengo. ingekua wanaangalia majengo basi vyuo vya nigeria, libya, misri vingekua juu muda wote kwakua majengo mazuri wanayo. wasomi wanaangalia ubora wa wahadhiri na machaisho yao kwenye majarida ya kimataifa. vilevile ubora wa wanafunzi wanaodahiliwa na chuo husika. ni ukweli usiofichika kua wanafunzi wanaofaulu tanzania chaguo lao ni udsm.
 
hapa ni kwa ajili ya wa watoto wa shule haya vijana onyesheni ubora wenu kwenye majengo na furniture
 
watu wengi najua watakataa ila udom bado ni chuo kinachokuwa kwa kasi ya ajabu nafikiri hizo changamoto alizotaja mtoa mada zikifanyiwa kazi udom inaweza kuja kuwa Havard ya africa .

wewe nae umetokea wapi, acheni kujifariji na chuo chenu cha kata, hakina lolote kuanzia management mbovu hadi cleaners
 
Ukweli vyuo vyote nchi hii vina changamoto. Huko UDSM watu wanasikiliza lecture wamesimama mpaka haijulikani nani ni mwalimu. wengine wanasikiliza kupitia madirishani, je ndo ubora huo? UDSM ubora ulikuwepo zamani labda mwisho 1990 kwa sasa hakuna lolote. KWanza wenye Masters na PhD hawafundishi kabisa kazi kusaka consultancy, research na kuandika vitabu ili wapande vyeo. SUA ndo usiseme watu wamo mbioni kusaka uprofesa.

kuna haja ya kuangalia mfumo wa elimu ya juu nchi hii.
wewe ni muongo kabisa hasa hilo suala la masters watu wanafundishwa ww unaleta politics acha habari za kizushi dogo, consultancy unafutwa sio unatafuta maana kama mtu ni nguli utafuatwa tuu, shauri yako ww kilaza
 
wewe ni muongo kabisa hasa hilo suala la masters watu wanafundishwa ww unaleta politics acha habari za kizushi dogo, consultancy unafutwa sio unatafuta maana kama mtu ni nguli utafuatwa tuu, shauri yako ww kilaza

hebu naomba changamoto 3 za ud unazozijua
 
wa vyuo vya kata utawajua tu, hawaishi kujibalaguza. ubora wa chuo si majengo. ingekua wanaangalia majengo basi vyuo vya nigeria, libya, misri vingekua juu muda wote kwakua majengo mazuri wanayo. wasomi wanaangalia ubora wa wahadhiri na machaisho yao kwenye majarida ya kimataifa. vilevile ubora wa wanafunzi wanaodahiliwa na chuo husika. ni ukweli usiofichika kua wanafunzi wanaofaulu tanzania chaguo lao ni udsm.

boya na 1 yangu ya 5 Pcm. Kozi za ed Ud zote zimekua za kuvuta ndala.
Siku iz watu wana piga Bed PPM, BED ICT, BED MAD ambazo hazipatikani kokote zaidi ya udom. Umesikia mbulula
 
1.Mara oooh, udom wanafundishwa na tutorial, kuanzia nimeanza coz zangu sijawah fundishwa na tutorial isipokua kipind cha LG. Ni chuo gan Tanzania hakina tutorial?
2. Eti udom chuo cha kata. Wengi vyuo vyenu vipo kama secondary, udom ni bonge la nchi iliyo na kila kitu ndani yake, chuo gan tanzania kinaweza kuchukua zaid ya wanafunz 40000 kwa makadirio ya chini? Mmepigwa gep kwaiyo lazma mta diss.
3.Ninasoma education boom nimelamba 100% kuliko mambulula wa vyuo vingine.
4. Nikimaliza napata ajira kama kawa na mshahara ni sawa disregard umesoma chuo gan
5.udom life kama Mbele vile, furniture kama za Naura spring au kibo palace alafu imagine nalipia jero, muache kudis sasa.
6. Udom room unakaa hata mwenyewe ukitaka wengine kila cku kukimbizana na daladala,mara kodi ya nyumba,mara kitanda kimoja mlale wawili,mmmh! Lazima utadis.
7. Tatizo la mikopo lipo social na humanities huku education unalamba boom at a time
ni kweli hakuna organization isiyo na changamoto. Changamoto za udom ni
1. Siasa za kikwete kwenye uteuzi wa viongoz
2. Udini kwenye nafas za ajira
3. Kucheleweshwa kwa mikopo kwa watu wa humanities

leo hii ukitaka kujua Udom nch zingine wanakikubali kuna mamia ya watu kutoka msumbiji, malawi botswana na zimbabwe.

Leo hii udom kina miaka 4 lakini kina compete na Ud cha zaid ya miaka 50. So baada ya kikwete kuondoka madarakani hakuna chuo tanzania kitafikia udom kwa kila kitu.
Sasa kuna competation kubwa kati ya ud na udom ndo maana kila cku utaskia kashfa kuhusu udom.
Mmmmmh!! Lazima mkae!!!

kumbe nawe unashindana na UD,maaana mfanoi wako umetolea hapo,...kijifananisha na UD ``the living Giant`` .....mtasubiri sana
 
1.Mara oooh, udom wanafundishwa na tutorial, kuanzia nimeanza coz zangu sijawah fundishwa na tutorial isipokua kipind cha LG. Ni chuo gan Tanzania hakina tutorial?
2. Eti udom chuo cha kata. Wengi vyuo vyenu vipo kama secondary, udom ni bonge la nchi iliyo na kila kitu ndani yake, chuo gan tanzania kinaweza kuchukua zaid ya wanafunz 40000 kwa makadirio ya chini? Mmepigwa gep kwaiyo lazma mta diss.
3.Ninasoma education boom nimelamba 100% kuliko mambulula wa vyuo vingine.
4. Nikimaliza napata ajira kama kawa na mshahara ni sawa disregard umesoma chuo gan
5.udom life kama Mbele vile, furniture kama za Naura spring au kibo palace alafu imagine nalipia jero, muache kudis sasa.
6. Udom room unakaa hata mwenyewe ukitaka wengine kila cku kukimbizana na daladala,mara kodi ya nyumba,mara kitanda kimoja mlale wawili,mmmh! Lazima utadis.
7. Tatizo la mikopo lipo social na humanities huku education unalamba boom at a time
ni kweli hakuna organization isiyo na changamoto. Changamoto za udom ni
1. Siasa za kikwete kwenye uteuzi wa viongoz
2. Udini kwenye nafas za ajira
3. Kucheleweshwa kwa mikopo kwa watu wa humanities

leo hii ukitaka kujua Udom nch zingine wanakikubali kuna mamia ya watu kutoka msumbiji, malawi botswana na zimbabwe.

Leo hii udom kina miaka 4 lakini kina compete na Ud cha zaid ya miaka 50. So baada ya kikwete kuondoka madarakani hakuna chuo tanzania kitafikia udom kwa kila kitu.
Sasa kuna competation kubwa kati ya ud na udom ndo maana kila cku utaskia kashfa kuhusu udom.
Mmmmmh!! Lazima mkae!!!

mmmmmmh.....ulivyoandika na ulicho andika ni ushahidi wa product za hiki chuo...
 
Back
Top Bottom