United of Tanzania and Zanzibar

United of Tanzania and Zanzibar

GHIBUU

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
4,432
Reaction score
3,013
Huu muungano bado hatujaridhishwa nao, kwa maoni yetu tumependekeza muungano wa mkataba, kila upande wa muungano kuwe na mamlaka kamili ya kujiamulia mambo yake, hayo ndo maoni ambayo tulio pendekeza kwa upande wa zanzibar.

Warioba ametuletea serikali tatu.

Jamuhuri ya TANZANIA BARA
Jamuhuri ya watu wa zanzibar
Jamuhuri ya muungano wa tanzania

Mambo ya muungano.

Uwepo wa Jamuhuri ya muungano wa tanzania
Uraia na uhamiaji
ulinzi na usalama
Mambo ya nje
Vyama vya siasa
Ushuru
Sarafu na bank kuu

Mambo haya ndio jamuhuri yenyewe, haya ndio kero ya miaka 50 ya muungano, badu tunaendeleza kero za muungano na kutukosesha usingizi.

Tunakuja na mjadala katiba mabaraza ya katiba

Jina la muungano litambulike kama- United of Tanzania and zanzibar- Muungano wa Tanzania na zanzibar

Washirki wa muungano watajulikana Kama, Jamuhuri ya Tanzania Na Jamuhuri ya watu wa Zanzibar

Mambo saba ambao ya muungano tutayapigania yaondolewe katika orodha ya muugano, tutajadili suala la ushirikiano tu baina yetu.

J
 
Hakuna kitu Tanzania Bara bali Tanganyika. Kama ni Tanzania Bara basi pawepo na Tanzania Pwani yaani Zanzibar. Ha ha haaa! Sounds funny!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hakuna kitu Tanzania Bara bali Tanganyika. Kama ni Tanzania Bara basi pawepo na Tanzania Pwani yaani Zanzibar. Ha ha haaa! Sounds funny!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Ukisema Tanzania bara visiwa vya mafia wamuachia nani ? Kama tanganyika Hamulitaki tanganzeni Jamuhuri ya tanzania tu, Na muungano tuubadilishe jina ili kuweza kurudisha mamlaka za nchi zetu, haiwezikani jamuhuri itoe jamuhuri ndani yake.
 
Huu muungano bado hatujaridhishwa nao, kwa maoni yetu tumependekeza muungano wa mkataba, kila upande wa muungano kuwe na mamlaka kamili ya kujiamulia mambo yake, hayo ndo maoni ambayo tulio pendekeza kwa upande wa zanzibar.

Warioba ametuletea serikali tatu.

Jamuhuri ya TANZANIA BARA
Jamuhuri ya watu wa zanzibar
Jamuhuri ya muungano wa tanzania

Mambo ya muungano.

Uwepo wa Jamuhuri ya muungano wa tanzania
Uraia na uhamiaji
ulinzi na usalama
Mambo ya nje
Vyama vya siasa
Ushuru
Sarafu na bank kuu

Mambo haya ndio jamuhuri yenyewe, haya ndio kero ya miaka 50 ya muungano, badu tunaendeleza kero za muungano na kutukosesha usingizi.

Tunakuja na mjadala katiba mabaraza ya katiba

Jina la muungano litambulike kama- United of Tanzania and zanzibar- Muungano wa Tanzania na zanzibar

Washirki wa muungano watajulikana Kama, Jamuhuri ya Tanzania Na Jamuhuri ya watu wa Zanzibar

Mambo saba ambao ya muungano tutayapigania yaondolewe katika orodha ya muugano, tutajadili suala la ushirikiano tu baina yetu.

Unaposema TU unamaanisha wewe na nani, mkeo? Ukitoa mapovu toa kwa ajili yako pimbi wewe, kwani wewe ni tume au unamuwakilisha nani?

Tanzania ni Tanganyika + Zanzibar, sasa unaposema Jamhuri ya Tanzania na Jamhuri ya Zanzibar una akili kweli wewe?

Kutwa kucha unazungumzia muungano hata kuoga unasahau, una nini wewe? Nenda kapalilie mwani, acha porojo mchana kutwa. Ni vile tu kila mtu ana maoni yake. Ingekuwa amri yangu mimi, mbona saa nyingi ningeshawakusanya Shaweji, Shaame, Shamte, Kibwana, Mabruki, Kombo, Mkubwa, woote ningewapakia kwenye kontena la futi 40 nikapiga seal na kupakia kwenye Aziza. Mida kama hii kesho yake wapo Nungwi, Buguruni na Ilala zipumue na muungano wenyewe uishe. Hatupumui, utadhani tunaishi kwa kula hiyo karafuu yenu...poh!
 
Unaposema TU unamaanisha wewe na nani, mkeo? Ukitoa mapovu toa kwa ajili yako pimbi wewe, kwani wewe ni tume au unamuwakilisha nani?

Tanzania ni Tanganyika + Zanzibar, sasa unaposema Jamhuri ya Tanzania na Jamhuri ya Zanzibar una akili kweli wewe?

Kutwa kucha unazungumzia muungano hata kuoga unasahau, una nini wewe? Nenda kapalilie mwani, acha porojo mchana kutwa. Ni vile tu kila mtu ana maoni yake. Ingekuwa amri yangu mimi, mbona saa nyingi ningeshawakusanya Shaweji, Shaame, Shamte, Kibwana, Mabruki, Kombo, Mkubwa, woote ningewapakia kwenye kontena la futi 40 nikapiga seal na kupakia kwenye Aziza. Mida kama hii kesho yake wapo Nungwi, Buguruni na Ilala zipumue na muungano wenyewe uishe. Hatupumui, utadhani tunaishi kwa kula hiyo karafuu yenu...poh!

Wanganyika mukitajia muungano munakuwa wakali, hee unasikitisha umepandisha hasira za kike, polee
 
Unaposema TU unamaanisha wewe na nani, mkeo? Ukitoa mapovu toa kwa ajili yako pimbi wewe, kwani wewe ni tume au unamuwakilisha nani?

Tanzania ni Tanganyika + Zanzibar, sasa unaposema Jamhuri ya Tanzania na Jamhuri ya Zanzibar una akili kweli wewe?

Kutwa kucha unazungumzia muungano hata kuoga unasahau, una nini wewe? Nenda kapalilie mwani, acha porojo mchana kutwa. Ni vile tu kila mtu ana maoni yake. Ingekuwa amri yangu mimi, mbona saa nyingi ningeshawakusanya Shaweji, Shaame, Shamte, Kibwana, Mabruki, Kombo, Mkubwa, woote ningewapakia kwenye kontena la futi 40 nikapiga seal na kupakia kwenye Aziza. Mida kama hii kesho yake wapo Nungwi, Buguruni na Ilala zipumue na muungano wenyewe uishe. Hatupumui, utadhani tunaishi kwa kula hiyo karafuu yenu...poh!

Unamkataza mwenzako kutoa povu na wewe unatoa povu,kwanini huitaki tanganyika yako ulioitolea jasho kuipatia uhuru wake?
 
Ghibuu kama hamtaki muungano huo wa maktaba ni wa nini na utahusu mambo gani?
Mlikuwa mnasema mambo ya 1964 yalikuwa 11 yakongezwa hadi 22. Leo yamebaki 7 mnalalmika.

Hebu tusadieni mambo gani mnataka yawe ya mkataba? Hayo 7 hamtaki sasa kipi mnadhani kiwe cha mkataba. Na kwanini mkataba! Hapo mwisho unasema tujadili ushirikiano, haa upi tena kwanini isiwe EAC
 
Wanganyika mukitajia muungano munakuwa wakali, hee unasikitisha umepandisha hasira za kike, polee

Sio MUKITAJIA sema mkitajiwa. Nani alikwambia Watanganyika wote tunapenda muungano? Huu muungano ni CCM na watu wenye akili zilizozeeka ndio wanajua umuhimu wake. Mimi sioni haja ya kuungana na watu useless kama Wazanzibar.

Ukiondoa haya maduka ya dawa asili mnayotuletea ushirikina kwa kuuza ubani, mayai viza, maji maiti, marash muje, udi na sanda, kuna nini Mtanganyika anaweza kuhitaji kutoka huko?

Mmejazana Buguruni na Ilala mtu mmoja ana watoto 13 kwenye kanyumba ka kale mnachafua mazingira Dar inakuwa kama India, halafu wenyewe kwa akili zenu mnahisi tunawapeeeenda kiasi tunawataka, eti? Nyie jidanganyeni, ukizingatia kuna vuguvugu la kupinga ushirikina huku, mbona huu muungano wenu utaisha muda si mrefu, we subiri.
 
Unamkataza mwenzako kutoa povu na wewe unatoa povu,kwanini huitaki tanganyika yako ulioitolea jasho kuipatia uhuru wake?

Kuna sehemu nimekwambia siitaki Tanganyika? We unaumwa nini!

Naipenda Tanganyika yangu na ndio maana naona huu muungano ni uchafuzi wa ardhi yetu. Siishi kwa kula karafuu na wala sina haja ya ubani na udi mimi, sasa unadhani nawahitaji Wazanzibari wa nini mimi?

Au kama unafikiria kuna jambo mimi kama Mtanganyika niliyezaliwa Mara nafaidika nalo toka kwa Wazanzibari hebu liseme hapa.
 
Unaposema TU unamaanisha wewe na nani, mkeo? Ukitoa mapovu toa kwa ajili yako pimbi wewe, kwani wewe ni tume au unamuwakilisha nani?

Tanzania ni Tanganyika + Zanzibar, sasa unaposema Jamhuri ya Tanzania na Jamhuri ya Zanzibar una akili kweli wewe?

Kutwa kucha unazungumzia muungano hata kuoga unasahau, una nini wewe? Nenda kapalilie mwani, acha porojo mchana kutwa. Ni vile tu kila mtu ana maoni yake. Ingekuwa amri yangu mimi, mbona saa nyingi ningeshawakusanya Shaweji, Shaame, Shamte, Kibwana, Mabruki, Kombo, Mkubwa, woote ningewapakia kwenye kontena la futi 40 nikapiga seal na kupakia kwenye Aziza. Mida kama hii kesho yake wapo Nungwi, Buguruni na Ilala zipumue na muungano wenyewe uishe. Hatupumui, utadhani tunaishi kwa kula hiyo karafuu yenu...poh!

Lete hoja sisi Waznz tutawapangia kila kitu nyinyi na tumeshajua kuwa jina la Tz mumelipenda kwahiyo huo ndo mpango mzima
 
Lete hoja sisi Waznz tutawapangia kila kitu nyinyi na tumeshajua kuwa jina la Tz mumelipenda kwahiyo huo ndo mpango mzima
Sheikh asalaam 3alekum W W... Yakhee; Ukiwa Muhsin basi weka hisani yako kwa nafsi yako habibu tulikuwa katika udugu kwa miaka 50 (tumeoona,tumezaana,tumesoma pamoja,tumejenga,tuhuzunikaa,tumefurahi pamoja nk.nk) Tafadhali hiyo isiende kwa pepeso la macho tu...tuvumiliane na tutoe pointi na hoja za kuridhiana jap kuna misononeko lakini uwezo wetu utaushinda ghadhabu zetu na tuheshimiane vilivyo tusionyeshe kuwa shwetani anatupamba na kutuongoza. Mjadala uwe wa kiungwana. Uhuru kwa wote na pongezi kwa kwa wote!!
 
Kuna sehemu nimekwambia siitaki Tanganyika? We unaumwa nini!

Naipenda Tanganyika yangu na ndio maana naona huu muungano ni uchafuzi wa ardhi yetu. Siishi kwa kula karafuu na wala sina haja ya ubani na udi mimi, sasa unadhani nawahitaji Wazanzibari wa nini mimi?

Au kama unafikiria kuna jambo mimi kama Mtanganyika niliyezaliwa Mara nafaidika nalo toka kwa Wazanzibari hebu liseme hapa.
Mh.wangu Mpendwa mwnzgu; Uzuri wako na moyo wa kiiungwana nashukuru kuongeza udugu baada ya kuishi na muungano wetu katika kipindi sha miaka 50 yote hayo ni ukombozi mkubwa na majivuno tuliyochumaambayo wengi wanayatmani kuyafikia.Tafadhali tusichoke kuyakumbuka kwa heri na ufahari, Basi mjadala wetu na wenzetu uwe kwa hoja na upole bila kutkaripiana, Kama tutaachana na wenzetu basi tuachane kwa umaarufu na wema kama tulivyoungana nao kwani fadhila zetu bado ni nyingi baina ya wawili. yalopita yamepita angalau waliyo unganisha udugu waendelee kudumisha udugu wao. Sote tujaaliwe mema na uhuru kwa wote. alamsikii!
 
Huu muungano bado hatujaridhishwa nao, kwa maoni yetu tumependekeza muungano wa mkataba, kila upande wa muungano kuwe na mamlaka kamili ya kujiamulia mambo yake, hayo ndo maoni ambayo tulio pendekeza kwa upande wa zanzibar.

Warioba ametuletea serikali tatu.

Jamuhuri ya TANZANIA BARA
Jamuhuri ya watu wa zanzibar
Jamuhuri ya muungano wa tanzania

Mambo ya muungano.

Uwepo wa Jamuhuri ya muungano wa tanzania
Uraia na uhamiaji
ulinzi na usalama
Mambo ya nje
Vyama vya siasa
Ushuru
Sarafu na bank kuu

Mambo haya ndio jamuhuri yenyewe, haya ndio kero ya miaka 50 ya muungano, badu tunaendeleza kero za muungano na kutukosesha usingizi.

Tunakuja na mjadala katiba mabaraza ya katiba

Jina la muungano litambulike kama- United of Tanzania and zanzibar- Muungano wa Tanzania na zanzibar

Washirki wa muungano watajulikana Kama, Jamuhuri ya Tanzania Na Jamuhuri ya watu wa Zanzibar

Mambo saba ambao ya muungano tutayapigania yaondolewe katika orodha ya muugano, tutajadili suala la ushirikiano tu baina yetu.

J
sisi hata huo wa mkataba hatuutaki,tunachotaka ni Tanganyika yetu....makupe wakubwa nyie
 
Lete hoja sisi Waznz tutawapangia kila kitu nyinyi na tumeshajua kuwa jina la Tz mumelipenda kwahiyo huo ndo mpango mzima
kwani tukiamua kulitumia mtatufanya nini?....ni nchi ngapi zinabadlirisha majina wewe
 
Rekebisha kichwa cha thread mkuu labda kisomeke "Union of" badala ya "united of"
 
Unamkataza mwenzako kutoa povu na wewe unatoa povu,kwanini huitaki tanganyika yako ulioitolea jasho kuipatia uhuru wake?

hawana uchungu na tanganyika mana hawakuipigania uhuru wake wao walikua pamoja na mkoloni kw vile ni kafiri mwenzao. Waislam ndo walidai uhuru na ndio wanaotaka jina la tanganyika lkn c hao wakristo.
 
Huu muungano bado hatujaridhishwa nao, kwa maoni yetu tumependekeza muungano wa mkataba, kila upande wa muungano kuwe na mamlaka kamili ya kujiamulia mambo yake, hayo ndo maoni ambayo tulio pendekeza kwa upande wa zanzibar.

Warioba ametuletea serikali tatu.

Jamuhuri ya TANZANIA BARA
Jamuhuri ya watu wa zanzibar
Jamuhuri ya muungano wa tanzania

Mambo ya muungano.

Uwepo wa Jamuhuri ya muungano wa tanzania
Uraia na uhamiaji
ulinzi na usalama
Mambo ya nje
Vyama vya siasa
Ushuru
Sarafu na bank kuu

Mambo haya ndio jamuhuri yenyewe, haya ndio kero ya miaka 50 ya muungano, badu tunaendeleza kero za muungano na kutukosesha usingizi.

Tunakuja na mjadala katiba mabaraza ya katiba

Jina la muungano litambulike kama- United of Tanzania and zanzibar- Muungano wa Tanzania na zanzibar

Washirki wa muungano watajulikana Kama, Jamuhuri ya Tanzania Na Jamuhuri ya watu wa Zanzibar

Mambo saba ambao ya muungano tutayapigania yaondolewe katika orodha ya muugano, tutajadili suala la ushirikiano tu baina yetu.

J
Tatizo lenu shule ndogo mnategemea kulishwa maneno. Zikisha kua nchi shiriki ni Jamhuri hapo hakuna muungano wa nchi mbili kuwa taifa moja. Watanganyika hatuhitaji muungano wa mkataba. Kama mmechuma mali nyingi bara mjue sheria za wageni zitawabana ikibidi kurudi kwenu tutawatimua. Sisi tunaona mnafaidi utanzania lakini mnajidai sijui mmelishwa nini.
 
Na sisi hatuhitaji badala ya dawa za panya , dawa za miti wauzazo wamasai, Umalaya, mabaa na makanisa kuna kitu gani ambacho cha kutufanya tuutake muungano ? Tuachwe tupumue
Sio MUKITAJIA sema mkitajiwa. Nani alikwambia Watanganyika wote tunapenda muungano? Huu muungano ni CCM na watu wenye akili zilizozeeka ndio wanajua umuhimu wake. Mimi sioni haja ya kuungana na watu useless kama Wazanzibar.

Ukiondoa haya maduka ya dawa asili mnayotuletea ushirikina kwa kuuza ubani, mayai viza, maji maiti, marash muje, udi na sanda, kuna nini Mtanganyika anaweza kuhitaji kutoka huko?

Mmejazana Buguruni na Ilala mtu mmoja ana watoto 13 kwenye kanyumba ka kale mnachafua mazingira Dar inakuwa kama India, halafu wenyewe kwa akili zenu mnahisi tunawapeeeenda kiasi tunawataka, eti? Nyie jidanganyeni, ukizingatia kuna vuguvugu la kupinga ushirikina huku, mbona huu muungano wenu utaisha muda si mrefu, we subiri.
 
Na sisi hatuhitaji badala ya dawa za panya , dawa za miti wauzazo wamasai, Umalaya, mabaa na makanisa kuna kitu gani ambacho cha kutufanya tuutake muungano ? Tuachwe tupumue

Unaumwa wewe, tena unaumwa kweli kweli. Jambo la kwanza tutakalofanya ni kukata huu umeme ambao kwa miaka mingi mmekuwa mkitumia bure. Halafu Aziza ikibeba viazi na mchele kupeleka huko, kodi inahusika.

Uzaaji wenu wa mtu mmoja wake 6 x 8children = disaster.

Sasa umeme mtapata kwa hao waarabu mnaowasujudu kama miungu.

Halafu shika adabu yako. Umalaya wa huku kwetu ni wa mtu mume vs mtu mke, huo wa kwenu wa mtu mume vs mtu mume hamuuoni au?

Kaa hapo Adams Inn pata chumba cha ghorofani, angalia hapo Malindi Guest House uone vizee na kanzu na makubazi yao vinavyozama gesti na tutoto tudogo saa 2 asubuhi. Hivi nyinyi ni wa kuzungumzia umalaya? Huku Tanganyika sijaona watu wanaenda gesti asubuhi, mwanzo nilidhani wanaenda msikitini, kumbe loh!
 
Back
Top Bottom