Universal Music Group: Diamond atwaa tunzo ya 6x PLATNUM award South Africa

Ni tuzo tu au na mshiko mkuu?
Wakati mwingine hizi certification ni muhimu kuliko mshiko kwa sababu zinakimbiza makampuni uchwa yanayotaka kufanya kazi na muhusika huku zikiongeza thamani ya endorsement!
 
Kiba alipewa kwa sababu ya kufikisha views million tano ndani ya miezi sita youtube na diamond kapewa kwa sababu nyimbo yake imefikia mauzo ya platnumz Mara sita (40000*6 sawa 240000*$1 sawa na kuingiza $240000 ambayo ni sawa na milion 500 kwa nyimbo moja ya marry you).NB platinum kwa south Africa ni sawa na copy 40 elfu (mtanirekebisha ).
 
Kumbe ulishawahi kuuliza!! Akikujibu utani-tag basi manake anaonekana wazi anachanganya madesa yasiyo na uhusiano hata chembe!!
WASHAPEWA MOYO NA MKUBWA WAO NYUMBU MANGE NA WENZAKE,WAMEAMINISHWA KUA KIBA ALISHACHUKUA

SI UNAJUA MTAA WA PILI SI WATU WA MUSIC,NI MAJUNGU KWA KWENDA ELE,NDO MANA OFISI ZAO NI SIMU ZAO NA SMARTPHONE HUKO INSTAGRAM HATA MUDA WA KULIPA KODI WANAO SASA WAKATI WANAISHI KIUJANIAUJANJA TU,WAANDIKE MAZUR AU MABAYA YA DIAMOND WAENDELEE KULA MUJINI
 
Kutoka universal?
 
Hongera Naseeb .Ila sio kweli Ali kiba naye Alisha pewa
we UPOPO mbona hujarudi tena kujibu hoja huku?maana wadau umewaacha na maswali mengi huku kwenye hii comment yako!

Au bado unajiridhisha kwa Mange?
 
Oh!! Kumbe wameambiwa na Mange!!!

Ndo vile tena Followers wa Mange huwa hawahoji zaidi kushangilia tu vinginevyo kama wangemuhoji hiyo ya Kiba ilikuwa ni Gold, Platinum au Diamond Certification, sidhani kama angekuwa na majibu zaidi ya kuwa-block!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…