Halafu anaomba assigment hajaspecify ni aina gani? Uchumi, Sheria, Sociology, Uhasibu n.k. kweli huyu ni zaidi ya kilaza wa University, huyu inabidi tumuite MBULULA; nahisi hawa ndio wale waliofaulu la darasa la saba wasiojua kusoma na kuandika, form wakapewa majibu yote, form six wakapewa majibu yote na sasa yupo chuo anatumia mbinu zile zile alizotumia madarasa ya chini. Dah! tuendako inabidi Tanzania iwepo kwenye maajabu saba ya Dunia. Halafu akipata hiyo degree ataomba kwenda kusoma master, then atataka PhD.