Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
mzee punch na kundi hakuwa kiboko tu kwa udsm tu bali hata kwa serikali ya wakati ulee...walishampunch mzee mkubwa ubaoni ikaleta shida sana mpaka wazee wa farasi mweupe wakafika kuchunguza hao punch ni kina nani..Mzee Punch alikuwa kiboko. Masikini wasichana walikuwa wanaogopa kuja kunywa chai ya saa kumi pale Havard.
Lakini ule ulikuwa unyanyashaji wa kijinsia, au vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee mlioko CoNAS nauliza Professor Magingo yupo? Alikua mkuu wa College kipindi flani, anatoka Department ya Microbiology and Biotechnology
Ivi ni Hadidu au Hadidi!!?Weka Hadidu za Rejea..!
Kila kitu maana yake nini
Mm nimekosa piahata mimi sielewi merit inahusu nini.na vigezo vya matokeo ni vipi
tunashukuru sanaaNawaona wa mikoani karibuni makao makuu ya vyuo vikuu nchini - UDOM
Yaah actually am feelling proud sana kwa mtu aliyeweka hii thread [emoji120][emoji120]Haya sasa tukutane hapa wote ambao tunasoma, tumewahi soma chuo kikuu cha Dar es salaam tufanye ku share uzoefu wetu tukiwa pale na baada ya kutoka pale,
UDSoL-UDSM School of Law
CoET-College of Engeneering and Technology
CONAS+College of Natural and Applied science
SOED-UDSM School of Education
COSS-College of Social Science
COHU-College of Humanities
CoICT-College of Infonmation And Comminication Technology
SJMC-School of Jounalism and Mass Communication
SOH-UDSM School Of Health
UDBS-UDSM Business School
CoAF-College of Agriculture And Fisheries
IDS-Instute of Development Studies
IKS-Institute Of Kiswahili Studies
karibuni......sana
Wakuu kozi za data science na computer science zipo udsm?
Mkuu shukran
udsm mzee, hayo ma baf achana nayo sio pure accountingHivi kati ya udsm b.comm in accounting , na ARU BAF , wapi pako safi kwa accounting Studies ?
Halafu chuo chenyewe Linaiga Ardhio
Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha thread hii Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam.
Nimeamua kuanzisha mimi kama Mwana chuo kikuu cha DSM. Naombeni Ndugu zangu MODS msiifute Hii Thread Ahsanteni sana!
Kwa Kushirikiana na Wanazuoni wengine toka udsm tutaweka na tuta-update baadhi ya taarifa muhimu toka chuo hichi kongwe kwa kadri taarifa itakavyohitajika na jamii
Tunaomba Ushirikiano Wenu!
Nembo ya Chuo!
View attachment 502120
Business School
View attachment 502121
bila shaka wewe umesoma taasisi kama ifm au vyuo kama udom[emoji23]Uchangudoa na utoaji mimba kiholela umeisha hapo Sodoma?
[emoji23]ardhi wazushi tu kuna chalii alidisco chuo pale bcom acc akaenda ardhi hiyo baf ils hata sup hakupataHalafu chuo chenyewe Linaiga Ardhio
[emoji23]ardhi wazushi tu kuna chalii alidisco chuo pale bcom acc akaenda ardhi hiyo baf ils hata sup hakupata
Sent using Jamii Forums mobile app