Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
hi JF thinkers
nimeskia tetesi toka moja ya maprofesa kwamba wanampango wa kuunganisha vyuo vitatu kama ilivokuwa awali. wakati hayo yakisemwa nkiwa moja ya semina leo nimeskia pia mara COET inataka kujitenga na pia mkwawa.
hivi wadau mnachukuliaje hili swala. enzi sisi tunasoma pale UDSM chuo kilikuwa kikubwa hata Africa kilikuwa kwenye vyuo bora, ila siasa zinawamaliza watanzania kila mtu anataka madara
my take.
wadau me naona maana ya University ni universal yani kila kitu chuo kuitwa chuo kikuu lazima kiwe na degree zote, kama ilivokuwa UDSM enzi zile, tuchukulie mfano wa Calfornia University au Makerere au Nairobi wenzetu wana vyuo vikubwa ila sisi tunazidi kugawa vyuo tuuuuu
its sucks guys, yani elimu ya TZ bwana, juzi nkiwa kwenye project moja ya elimu nimeskia wanataka kujenga tena chuo cha medicine pale
this is insane
nimeskia tetesi toka moja ya maprofesa kwamba wanampango wa kuunganisha vyuo vitatu kama ilivokuwa awali. wakati hayo yakisemwa nkiwa moja ya semina leo nimeskia pia mara COET inataka kujitenga na pia mkwawa.
hivi wadau mnachukuliaje hili swala. enzi sisi tunasoma pale UDSM chuo kilikuwa kikubwa hata Africa kilikuwa kwenye vyuo bora, ila siasa zinawamaliza watanzania kila mtu anataka madara
my take.
wadau me naona maana ya University ni universal yani kila kitu chuo kuitwa chuo kikuu lazima kiwe na degree zote, kama ilivokuwa UDSM enzi zile, tuchukulie mfano wa Calfornia University au Makerere au Nairobi wenzetu wana vyuo vikubwa ila sisi tunazidi kugawa vyuo tuuuuu
its sucks guys, yani elimu ya TZ bwana, juzi nkiwa kwenye project moja ya elimu nimeskia wanataka kujenga tena chuo cha medicine pale
this is insane