CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna wahuni walikua wanatoka CIVE kule kwenda ujasi ya humanityWazee wa Humanities,UJASI IPO kweli?
Ilikuwa mkombozi sana maana nilikuwa napiga boonge ya ugali
Watokee wapi... Ila ya humanity kule wapo shazi....🤣🤣🤣Aisee Ujasi kulikuwa hamna watoto wa kike
Ur welcome....T/UDOM/2013/0...
Inayopatikana wapu...?? Na mda gani..?Hivi hiki chuo wapo serious? Hakuna namba ya simu wala email inayopatikana.
Lala tuu...Kuna mtu anataka kufanya mtihan wa examination
Mpeni miongozo wakuu
Namba zao zote za simu zilizopo kwa website yao hakuna iliyo active hata moja. Inashangaza sana.Inayopatikana wapu...?? Na mda gani..?
Umewatafuta mda gani mkuu.. si unaelewa taasisi mda wa kazi ni upi lakini..?Namba zao zote za simu zilizopo kwa website yao hakuna iliyo active hata moja. Inashangaza sana.
Hiki chuo ni takataka muda wote hawapatikani jaribu nawewe.Umewatafuta mda gani mkuu.. si unaelewa taasisi mda wa kazi ni upi lakini..?