KERO University of Iringa (zamani Tumaini University) wamekuwa hawajali wanafunzi hasa linapokuja suala la kitaaluma

KERO University of Iringa (zamani Tumaini University) wamekuwa hawajali wanafunzi hasa linapokuja suala la kitaaluma

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Hii inatokana kwamba mimi na wenzangu tumekuwa tukipewa ushirikiano mdogo sana hapa chuoni, kwamba mpaka sasa niko mwaka wa tatu na ninatalajia kuhitimu masomo mwaka huu wa masomo 2023/2024.

Tumekuwa na shida ya results zetu nikimaanisha hawajaweka baadhi ya matokeo yetu ambapo ni matokeo ya mwaka wa kwanza na mengine ni ya mwaka wa pili.

Tumejaribu kuandika barua sana kwa uongozi lakini tatizo halija tatuliwa nikimaanisha wenda tusi hitimu masomo mwaka huu.

Hivyo basi mamlaka husika tungependa kuwasilisha kwenu jambo hili, ikiwa pamoja na kuja hapa chuoni kufanya ukaguzi maana inajenga taswila mbaya hasa kwa hizi taasisi za elimu
 
Hii inatokana kwamba mimi na wenzangu tumekuwa tukipewa ushirikiano mdogo sana hapa chuoni, kwamba mpaka sasa niko mwaka wa tatu na ninatalajia kuhitimu masomo mwaka huu wa masomo 2023/2024.

Tumekuwa na shida ya results zetu nikimaanisha hawajaweka baadhi ya matokeo yetu ambapo ni matokeo ya mwaka wa kwanza na mengine ni ya mwaka wa pili.

Tumejaribu kuandika barua sana kwa uongozi lakini tatizo halija tatuliwa nikimaanisha wenda tusi hitimu masomo mwaka huu.

Hivyo basi mamlaka husika tungependa kuwasilisha kwenu jambo hili, ikiwa pamoja na kuja hapa chuoni kufanya ukaguzi maana inajenga taswila mbaya hasa kwa hizi taasisi za elimu
Wanawaambia sababu ni ipi ya kuchelewesha kwa muda huo wore?
 
Hakuna jibu tunalopewa na tunaambia subirini senet ikae tokea mwaka wa pili semester ya kwanza mpaka sasa tuko mwaka wa tatu semester ya mwisho, ikimaanisha senet imesha kaa sichini ya mara tatu
 
Hivyo basi tunashindwa kuelewa wanahitaji nini tena ili waweke matokeo yetu tumesha andika barua sana kwa uongozi tukachukuliwa mpaka majina ya watu ambao hawaoni mayokeo yao lakini bado tu hakuna kitu kilicho tendeka sasa ni semester nne zinapita hivyo
 
Back
Top Bottom