Unleashed: Vol-1 - P-X:2010 - "Fikra mbadala"

Unajua mzee wangu umeandika Historia ya kizazi mpaka kizazi hivyo kuna wajibu wa kutunza wajibu wa mambo haya na pia, wakati mwingine huwa napata shida kama mambo haya yanaweza kufika kule kunakotakiwa yaani mzee mzima wa nyumba yaani mzee wa kaya, Ila huwa napatwa na wasi wasi kuwa itakuaje kama kweli Watanzania wakisoma makala zako, hata wakati mwingine kugawa bure kwenye Vyuo vyetu katika Tanzania. Asante kwa mchango wako ulio bora labda nitafanya copy kwa ajili ya mzee wa kaya
 
Kuna kizazi kitakuja kuyafanyia kazi haya; lakini pia sisi wengine tumedokeza mambol ambayo tutayafanyia kazi tutakaposhika madaraka.
Mungu awabariki kwa kazi kubwa juu ya Taifa letu.Likiharibika tutakuwa tumeharibikiwa wote ingawa wanaofanya mambo ya kuriharibu idadi yao inaweza kuwa ni ndogo.
Elimu hii wakiendelea kuipata watu wengi itakuwa na msaada mkubwa wa nini tungependa kufanya kama Taifa. Tumeshakaa gizani muda mrefu imetosha. Yote yawe kheri mkuu
 
Asante saana mkuu wangu MMJ, Mungu wa rehema akubariki kwa kazi nzuri unayoifanya. Mungu mwenyewe amekuandaa makusudi mazima kuwa mhimili wa ukombozi wa mara ya pili wa Tanzania. Big up!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…