Weka hapa matokeo hadi sasa ili tuone
Mpaka hapo inaonyesha kuwa Asilimia 70% ya watu waliojiandikisha kupiga kura imekwisha kufikiwa, na Uhuru anaongoza kwa tofauti ya zaidi ya kura 1.3milioni.Huyo muache keshatoweka hana lolote, haya hapa matokeo kufikia sasa.
- UHURU KENYATTA
JP
7,197,184 votes
RAILA ODINGA
NASA
5,838,824 votes
Kwani wana NASA mmeshikwa na mshituko wa moyo mkazimia?hamuonekani popoteIEBC has streamed results from Jubilee stronghold in Bomet, Nyamira, Narock and Kisii to create perception. Be strong remain calm.
Latest Update: 35,624 out of 40,883 polling stations:
Uhuru Kenyatta 7,263,821 votes (54.75%);
Raila Odinga 5,891,934 votes (44.41%).
Kwani wana NASA mmeshikwa na mshituko wa moyo mkazimia?hamuonekani popote
Makada imewauma eeh? Kwetu Kajiado si huko kwenu kolomije wewe! Tembea uone Cosmopolitan County of Kajiado! Dakika ishirini tu kwenye gari kutoka Nairobi! Uhuru tibim!Oooh my God. Kumbe naongea na mtu wa Kajiado. Get lost. Ungekuwa wa Mombasa , Kisumu au Nairobi ningekuelewa. Sio huko ushago.
[emoji3][emoji3] mzee naona matakwa yako yametimia.... hongeraMakada imewauma eeh? Kwetu Kajiado si huko kwenu kolomije wewe! Tembea uone Cosmopolitan County of Kajiado! Dakika ishirini tu kwenye gari kutoka Nairobi! Uhuru tibim!
Asanta mkuu! Vitendawili tumevieka pause! Kama nilivosema jamaa walikuwa na kelele tupu tu! Dawa yao ilikuwa ni kura zetu. Jubilee hoyee![emoji3][emoji3] mzee naona matakwa yako yametimia.... hongera
Tinga is fabricator he always win election before voting. And proclamations of having tallying center wardly haikuwa na haja mazee.Asanta mkuu! Vitendawili tumevieka pause! Kama nilivosema jamaa walikuwa n kelele tupu tu! Dawa yao ilikuwa ni kura zetu. Jubilee hoyee!
Odinga amesha shindwa kabisa sasa wana leta visingizio vya 34A hata kura zikihesabiwa upya kamwe hatoshindaHawa wajinga waliambiwa maradufu kwamba IEBC haipigi kura, KDF hawatahesabu kura , Al Ghuraih hawaegemei Jubilee na wakaleta kesi nyingi kortini kuhusu uchaguzi. Yaani hawa NASA are paranoid kabisa with no sense whatsoever.
Hehe eti 10million strong! Elimu itakuwa vipi? Raila tibim! Afya, Usalama? Raila ndialalaah! Wale ambao hawako serious tunawoneaga 18!Tinga is fabricator he always win election before voting. And proclamations of having tallying center wardly haikuwa na haja mazee.
Sasa muwape 34A-Z. [emoji119][emoji119]